Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hahahahahahahahahhahahha
24232439_1525702407520562_636122072570143936_n.jpg
Natamani kujua aliandika nini baada ya kupambana na NEXT opponent
 
Pana swahiba wangu juzi nimempeleka hospital vipimo vyote vinavyopatikana muhimbili kapima ugonjwa haujajulikana lakini ndugu yangu anapukutika tu daktari mmoja ikabidi akae nae na kuanza kuzungumza mambo mbalimbali kama siasa na michezo alipomuuliza ni shabiki wa timu gani na kutaja arsenal hapo nilimuona daktari kabadilika na kusema "tunasumbuka bure siku zote kumbe ugonjwa wako unaujua "
 
Tottenham are prepared to sell Danny Rose to Man Utd in January, according to reports

Thoughts?
24312607_10155908638323598_1127294776223357426_n.jpg


Timu ukiona inamnadi Kumuuza Mchezaji ambaye ana Mkataba Mpaka 2021 bila ya Kutanguliza Kipengele cha "NOT FOR SALE".... Basi mnunuzi unatakiwa ufikirie Mara mbili...!
 
Wadau wa soka ni wiki nyingine tena kabla hatujashuhudia vita ya mafahali wawili. Mourinho vs Guardiola, man United vs man city. na kama ilivyokuwa kwenye mechi ya arsenal dhidi ya United nikaona tena hamna noma kuanzisha uzi huu kwa ajili ya wapenda soka tujuzane matukio mbalimbali ya kabla na baada ya mtanange huo wa kukata na shoka!!!
 
Wadau wa soka ni wiki nyingine tena kabla hatujashuhudia vita ya ya mafahali wawili. Mourinho vs guardiola, man United vs man city. Nami nikaona isiwe kesi kama tulivyofanya kwenye mechi ya arsenal dhidi ya United nimeona ni vema kuanzisha uzi huu kwa ajili ya wapenda soka kama mimi kujuzana matukio yote kabla na baada ya mechi hiyo ya kukata na shoka.karibuni!!
 

Attachments

  • 23844500_1971956983021854_3335955697474641657_n.jpg
    23844500_1971956983021854_3335955697474641657_n.jpg
    2.2 KB · Views: 53
  • 22046732_1979406708944997_6088279195377461473_n.jpg
    22046732_1979406708944997_6088279195377461473_n.jpg
    3.8 KB · Views: 49
Back
Top Bottom