Lee Cho in
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 941
- 693
Red card ya Pogba ni pigo kwetu
Sijui kama uliiona vizuri, ila ile ilikua ajali kazini wala siwezi mlaum pogba...Dah kadi nyekundu kizembe kabisa



I think man of the match apewe De Gea
Lingard..........Sawa Mou ni kocha wetu ......
Lakini ule ukweli anatakiwa kuacha dharau na kejeri kwa Mata....!! Hivi Lingard anaanza vp mbele ya Mata? Hata kwa jicho la kawaida Mou anataka kumdanganya nani kwamba Lingard yuko vizuri kulinganisha na Mata??.... dharau....!!
Sawa Rojo umeshaamua acheze kushoto (back).... huyo Young anafanya nini kwenye kiungo Kwanini usimpe nafasi Herrera??
Any away yeye ndiye anayaejua zaidi na Hapangiwi.... ila inakera
GGMU GGMU GGMU GGMU
Duh sasa hapa sio kupaki bus tena ni kupaki scania...POBGA RED CARD...
aisee nimecheka sana + ushindi.😀 sasa mkuu leta mbinu kwa man city tutaenda kupaki treni?Duh sasa hapa sio kupaki bus tena ni kupaki scania...POBGA RED CARD...
Mc Tommy aaminiwe tu...De Gea pongezi nyingi kwake
ushindi muhimu kama kawaida
Mechi ya man city bila pobga? Nasubiri kuona atakacho amua maurino hiyo siku