Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yule boss wa madrid atavunja kibubu kwa de gea yaani kwa moto huu madrid watatumia njia yoyote wampate kipa wetu pesa mwanaharam kabisa huyo ndo maana halisi ya mlinda mlango sio shati ya arsenal lile .

[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
DeGea ataenda kwasababu ni muhispania nothing else.
 
24296305_1549947515100886_8187716960155355474_n.jpg
 
Baada ya mechi hii nimeamua kutoka Chelsea na kuhamia Man U kuunga mkono juhudi za Mourinho kuutafuta Ubingwa, maana kila anachofanya Mourinho ni yale yale tuliyokuwa tunayapigania huku Chelsea kwa miaka mingi, hivyo hakuna haja ya kuendelea kupingana na Man U. Narudi Nyumbani

Karibu home, karibu na usikimbie tena, kuna raha sana OT.
 
Back
Top Bottom