Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unafungwa na mchezaji aliyekuwa chaguo lako la kwanza kama no 9..

Mshambuliaji hawezi hata kupiga chenga mbili.. Hivi tuliwahi kuwa na namba tisa aina ya lukaku?
Chengaaa mbilii
umenifurahisha mnoo....
 
mchezaj wa kawaida mno kama imekuuma chomoa nachomeka tena
sio kosa lako ni kosa la upeo wako,kumfananisha Eden Hazard na akina Rashford na Martial ni dalili tosha una mapungufu ya kiakili linapokuja suala la mpira wa miguu.
 
hata nikiangalia sijaona kitu wachezaj wa chelsea wameizid united mourinhi plan yake mbovu leo utafikir anacheza na wakina Kdb + silva viungo wabunifu kumbe duuuuuuu
una akili ww wenzenu tuna hazard,fabregas,,kante,,morata,, halafu uoni nn mmzidiwa
 
Changia bsi ela nasikia wanapitisha kikombe cha mchangi
 
sio kosa lako ni kosa la upeo wako,kumfananisha Eden Hazard na akina Rashford na Martial ni dalili tosha una mapungufu ya kiakili linapokuja suala la mpira wa miguu.

hazard ana kitu gani special pale epl had sasa we jamaa top assist wapo wakina kdb,eriksen,sesc,ozil , silva magoli wakina aguero,alikuwepo costa kane daaaaa hebu niwekee takwimu zake special mbona mnamkuza kwa ku drible na mbio au?
 
mkuu ntajie misimu mi 3 ambayo hazard kawa kwenye form katupia goli zaid ya 15 au hata 10 na assist 10 tukikwambia ni mchezaj wa kawaida usikatae
so iniesta ni mchezaji wa kawaida???

nyie ndo mmejifunza mpira ukubwan iniesta ana magoli machache kuliko john terry bt ni world class player

kuna watu mnamuona mchezaji akiwa anafunga au ku assist

euro iniesta anashnda mchezaji bora alikua na goli moja au mbili assist hazizid tatu
 
Changia bsi ela nasikia wanapitisha kikombe cha mchangi
Kikifika nitachangia,,,
Ila kwani vile viwango ambavyo hutolewa na Forbes si hua ni cash tena katika viwango vya £????
If Yes,, zna kazi gani sasa??
If No,,, wajitangaze wachangiwe...
 

utakuwa mgonjwa sasa iniesta na hazard wap na wap
 
hazard ana kitu gani special pale epl had sasa we jamaa top assist wapo wakina t kdb,eriksen,sesc,ozil magoli wakina aguero,alikuwepo costa kane daaaaa hebu niwekee takwimu zake special mbona mnamkuza kwa ku drible na mbio au?
kaangalie wachezaji wenye impact wanapokuwa na mpira mguuni sio tu EPL bali duniani kote kama utanamkosa Hazard katika list za juu maana sitaki kukuchambulia kitu kimoja kimoja sijui magoli,assits.dribbles,take ons,most fouls n.k
 
kaangalie wachezaji wenye impact wanapokuwa na mpira mguuni sio tu EPL bali duniani kote kama utanamkosa Hazard katika list za juu maana sitaki kukuchambulia kitu kimoja kimoja sijui magoli,assits.dribbles,take ons,most fouls n.k

hata ozil yupo ktk hiyo list sio hazard tu
 
utakuwa mgonjwa sasa iniesta na hazard wap na wap
nakushangaa ww unaesema hazard mbovu kisa goals n assist

ndo maana nimekupa mfano wa best player bila hizo sifa zako watu wanaangalia mchango katka makombe,,mchango ni wa namna nying
 
hazard ana kitu gani special pale epl had sasa we jamaa top assist wapo wakina kdb,eriksen,sesc,ozil , silva magoli wakina aguero,alikuwepo costa kane daaaaa hebu niwekee takwimu zake special mbona mnamkuza kwa ku drible na mbio au?
Punguza kisirani mkuu,tunajua ww ni mdogo ake Jones,maana alichokuwa anafanyiwa na hazard ni aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…