Eqlypz
JF-Expert Member
- May 24, 2009
- 4,065
- 651
Hii kitu siwezi kuchoka kuiangalia.Nilicheka sana nilipoangalia MOTD2 jinsi Alan alivyoua hilo tukio.
Hii kitu siwezi kuchoka kuiangalia.Nilicheka sana nilipoangalia MOTD2 jinsi Alan alivyoua hilo tukio.
Jamaa akiwa fit ni mchezaji mzuri sana na anacheza namba nyingi ,nakumbuka kuna kipindi alikuwa anacheza beki wa kulia na nakumbuka siku alivyowafunga Arsenal kwa freekick.Sidhani kama atapata nafasi pale Man City ukichukulia kuna viungo wengi kama Barry,Milner,Toure,De Jong,Nasri,SilvaJapokuwa alikuwa free agent ila kwenda city ameniuzi sana huyu Hagreaves.
Nakubaliana nawe kuwa hatuna Defensive Midfielder wa uhakika ,matumaini yamebaki kwa Fletcher tuombee Mungu asiwe majeruhiI meant Defencive Midfielder au Central Midfielder maana Anderson ana ile mentality ya kibrazil attack attack kudefend zero sasa yeye na Cleverley kama umegundua uwa wanajisahau na kuna tundu pale kati wanaliacha wazi. Carrick nadhani ndio tayari wameshaanza kumphase out taratibu akirudi kwenye form ya 08-09 na Fletcher arudi kwenye form ya 08-10 itakuwa poa sana.
Nakubaliana nawe kuwa hatuna Defensive Midfielder wa uhakika ,matumaini yamebaki kwa Fletcher tuombee Mungu asiwe majeruhiI meant Defencive Midfielder au Central Midfielder maana Anderson ana ile mentality ya kibrazil attack attack kudefend zero sasa yeye na Cleverley kama umegundua uwa wanajisahau na kuna tundu pale kati wanaliacha wazi. Carrick nadhani ndio tayari wameshaanza kumphase out taratibu akirudi kwenye form ya 08-09 na Fletcher arudi kwenye form ya 08-10 itakuwa poa sana.
Ile freekick dhidi ya Arsenal sintoisahau, na jinsi alivyoshangilia.Jamaa akiwa fit ni mchezaji mzuri sana na anacheza namba nyingi ,nakumbuka kuna kipindi alikuwa anacheza beki wa kulia na nakumbuka siku alivyowafunga Arsenal kwa freekick.Sidhani kama atapata nafasi pale Man City ukichukulia kuna viungo wengi kama Barry,Milner,Toure,De Jong,Nasri,Silva
Nakubaliana nawe kuwa hatuna Defensive Midfielder wa uhakika ,matumaini yamebaki kwa Fletcher tuombee Mungu asiwe majeruhi
I meant Defencive Midfielder au Central Midfielder maana Anderson ana ile mentality ya kibrazil attack attack kudefend zero sasa yeye na Cleverley kama umegundua uwa wanajisahau na kuna tundu pale kati wanaliacha wazi. Carrick nadhani ndio tayari wameshaanza kumphase out taratibu akirudi kwenye form ya 08-09 na Fletcher arudi kwenye form ya 08-10 itakuwa poa sana.
I said tangu Roy Kean alipoondoka tumekuwa na tatizo kwenye kiungo cha kukaba, Hatujapata kiungo mwenye uwezo wa kukaba mtu na nafasi (Physical marking and space marking) Carrick ni mzuri kwa kukaba nafasi tu, Fletcher naye ni mzuri kwa kukaba nafasi, ingawa ana uwezo wa kutibua move lakini hana msuli wa kutosha kumdhibiti adui mwenye nguvu. Las Diara alikuwa anafaa zaidi kusajiliwa
<br />Rooney katupia mbili england'chicharito mojo'mexico
RVP katupia nne uholanzi,Young katupia tatu korea!
nakubaliana nawe mkuu...nadhani Fergie anajaribu kuachana na falsafa hii ya defensive midfielders instead kuwa na timu ambayo ni more dynamic, yenye kusaidiana na kila mtu kucheza kwa ajili ya mwenzie na timu kwa ujumla..some kind of <b><i>we win together and fail together</i></b>, they called it total football in the 1970s.<br />
<br />
nami nimuunge mkono bse there was only one Roy Keane as there was only one Paul Scholes..wanapoondoka unafanyaje? you can't afford to dwell on your past but rather for sustainable success, you adopt different tactics to efficiently utilise the resources that you have...and that is exactly what Fergie is trying to do(he is a master in inventing, copying and trying new ideas).<br />
<br />
Fergie anachokifanya sasa ni kuwa na a very young team ambayo itacheza possessive(with more passing),flowing, fast football...mkuu utakubaliana nami katika game na man city..baada ya zile changes ziliwatoa Vidic, Rio na Carrick na kuingiza damu changa..Evans, Jones na Cleverly jinsi game ilibadilika..City waligeuka kuwa spectators only.<br />
<br />
Na niseme ni kwa invention hii tutazi-dispose timu nyingi sana kwenye EPL lakini pia itatuweka katika nafasi nzuri ya kucheza na timu kama Barcelona...Kifupi niseme Fergie anajaribu kujenga timu itakayozishinda timu za uingereza lakini pia yenye kuweza kuishinda Barcelona ya leo..
Mkuu itazame Barca..Sergio Busquet si defensive midfielder wale tumewazoea..lakini akisaidiana na Central Defender kama Pique..huhitaji nail biting midfielder na hapo ndiyo mfano wa Anderson na Phil Jones unaingia.
If you can't beat them join them...the target is Barca mkuu..we must knock them off their fu....ng perch.
<br />
<br />
RVP katupia nne uholanzi,Young katupia tatu korea!
LMFAO! Hii imetulia....nasubir 'majibu' kwa hamu.....ila ungemalia...mawil kat ya matatu...ame copy....afu aka paste....hahahaha! khekheeeeeee!Rooney katupia 3 kwenye 8