Half time
Man Utd 3 - 0 Bolton
Si unajua whatever city can do, we can do better. Nataka tuwachape hawa wapuuzi 7 kumnyamazisha huyo Kevin Davies.naona mkuu mnataka mwandelee kukaa juu nini..
Buahahahah in your face, tatizo lako unaamini sana magazeti ya udaku...!!!
![]()
Tayari maanza chechemea
khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
Cleverley kaumia so katolewa kaingia Carrick.Keep flowing braza Eqlpz...had caught in the jam apa leo nimepatikana..amna cha Da Gea wala Clever kuwaona..may b 2nd half mwishoni.
hahah mkuu nilikwambia, Rooney na Hernandez mmoja wao ana hat trick.ngoja tuone hii foul..