Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_2017-10-28-16-45-28.png
 
Mzee baba ongeza mapicha picha....binaadamu wanafiki sana kuna kipindi RUTASHUBANYUMA alihamia katika uzi wa Likes humu watu wakaanza kusema mara uzi upo kimya nk..
Hayo mapicha picha ndiyo aina ya mchango wake kama wengine kazi yao kuqoute matusi tu nk
Wakumbushe vizuri naona hawana kumbukumbu!
 
Lazima nikuelimishe. Mechi kubwa sina mbinu zake.Tatizo tangu mjue neno kupaki basi mnafikiri kila mahali mnaweza kulitumia.

Post yangu ya mwisho hii ombi lako nimelipokea,sitapoteza muda tena kuku-quote.
Huyu bwana ndo zake kwenye big game 2meona game ya liver na hii ! Ngoja mechi za city na chelsea yatakuwa haya2 labd atashambulia game ya mpumbavu mwenzake wenger....na hiyo pia itakuwa ya away home atapakiii semi....
 
Back
Top Bottom