mkuu kwa kichapo alichopata sioni umuhimu wa kuweka hizo mbili sio kwamba sijaziona usije sema m arsenal bure
haya bas ni 8-2 ila man u wauwaji wakubwa kabisa
Kuna watu wanamiss hii party, Mfarisayo, Manda, Belo, Nayvone, BelindaJacoob na wengine ambao sijawataja.
Kusema ukweli baada ya goli la sita nilianza kuwaonea huruma Arsenal.
Kuna watu wanamiss hii party, Mfarisayo, Manda, Belo, Nayvone, BelindaJacoob na wengine ambao sijawataja.
Kusema ukweli baada ya goli la sita nilianza kuwaonea huruma Arsenal.
Aaaah still crusing at arsenal expenses.............wadau wote wa MAN UTD hongereni sana, tunawatakia matanga mema watani wote,nadhani ETIHAD wamekubali sisi ni kiboko midlands
Kuna watu wanamiss hii party, Mfarisayo, Manda, Belo, Nayvone, BelindaJacoob na wengine ambao sijawataja.
Kusema ukweli baada ya goli la sita nilianza kuwaonea huruma Arsenal.