Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Second half SAF ingiza Chicharito apige hattrick
 
pigaaoooooooooo! peasant wahi kupeleka maturubau LONDON....ILE PEN TUNGEPEWA SISI basi awa wahum wangeongea ad kesho...
 
Duh Arsenal nawaonea huruma wakija kuchoka game hii ndio watazidi kupigwa zengine labda wajitulize... masikini WACHA1 leo atapotea anasema Arsenal wadogo leo kawekewa wadogo zaidi sijui atakuja na kisingizio gani sasa wenger.
 
M nimechoka esabu bana...Peasant kuja apa saidia hesabu ii massacre.
 
pigaaoooooooooo! peasant wahi kupeleka maturubau LONDON....ILE PEN TUNGEPEWA SISI basi awa wahum wangeongea ad kesho...



wanabebwa sana leo lakini hawabebeki. Arshavin na Jenkinson walitakiwa kuwa nje mpaka sasa....penalty ilikuwa bonge la dive!
 
Man utd hawana kipa,ni pazia 2 lipo golini
Wapenzi wa EPL hasa mashabiki wa Arsenal na Manchester, heshima mbele wakuu wangu!.<br />
<br />
Hivi kwa nini Arsenal mara nyingi inafungwa na Manchester? sababu hasa ni nini? -<br />
Binafsi nafikiri kama kwenye maisha kuna bahati basi hata kwenye mpira kuna bahati. So nafi<br />
kiri Man u pamoja na kuwa na timu mzuri lakini pia wanabahati kushinda timu yoyote England.<br />
Maana hata kwenye mtanange wa leo utaona Arsenal watacheza kama Barca,lakini mwisho wa<br />
dk 90 utaona Man U 3 Arsenal 0 au 1.<br />
<br />
Au nyie wenzangu mnaonaje? kwanini Arsenal inafungwa mara nyingi na Man U?
<br />
<br />
 
Cleverley should have done better... Naona tushaanza kusinzia kwenye hii mechi.
 
WTF Nani.....jamaa wanacheza kama tuko training. Kudos kwa kipa wa Arsenal amewatoa sana.
 
Cleverley should have done better... Naona tushaanza kusinzia kwenye hii mechi.

Huwa tunaridhika mapema! Ni hatari sana
jamaa wakiweza kutumia vizuri nafasi wanazopata, itakula kwetu!
 
Wojciech Szczesny is the man of the match so far, and it's 5-1
 
Rooney is just firing from everywhere.. that would have been a wonderful goal.
6-1
 
Back
Top Bottom