Wapenzi wa EPL hasa mashabiki wa Arsenal na Manchester, heshima mbele wakuu wangu!.<br />
<br />
Hivi kwa nini Arsenal mara nyingi inafungwa na Manchester? sababu hasa ni nini? -<br />
Binafsi nafikiri kama kwenye maisha kuna bahati basi hata kwenye mpira kuna bahati. So nafi<br />
kiri Man u pamoja na kuwa na timu mzuri lakini pia wanabahati kushinda timu yoyote England.<br />
Maana hata kwenye mtanange wa leo utaona Arsenal watacheza kama Barca,lakini mwisho wa<br />
dk 90 utaona Man U 3 Arsenal 0 au 1.<br />
<br />
Au nyie wenzangu mnaonaje? kwanini Arsenal inafungwa mara nyingi na Man U?