Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hiki kichapo cha leo noma! khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!
 
siamini macho yangu...............kumetokea nini tena

Manda, Belo hebu nipeni taarifa..........
 
siamini macho yangu...............kumetokea nini tena

Manda, Belo hebu nipeni taarifa..........

Mkuu we endelea kushangilia ushindi mnene!!

Arsene wenger baada ya kuifunga udinese alijipa matumaini kwa kusema "i believe in this team",........

Sidhani kabisa kama baada ya kisago cha leo, kama anaweza kuthubutu kusema maneno hayo.
 
hongereni sana wapinzani, mmetupunguzia kelele kwa kiwango kikubwa hapa mjini!
 
Arsenal ni timu ya kawaida na kwa sasa ni bovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…