Duh!! Wewe kweli kiboko mkuu! Yaani huu Whoops! Browser Settings Incompatible ndio uchunguzi uliofanya na kupresent kama fact kwamba Ronaldo alikuwa mshabiki wa Barcelona udogoni? Tumwamini nani hapa, kati ya Ronaldo mwenyewe na Eric Djemba-Djemba? Nakumbuka Ronaldo alinza kupiga kelele za kutaka kutamani Madrid kabla hata wao wenyewe hawajaonyesha interest, kwanini hakuwahi kusema anatamani kwenda Barca?
Pili, unatumia vigezo gani kusema Ronaldo ameshuka kiwango sana tangu aende Madrid? Statistic hazionyeshi hivyo! Nina wasiwasi kama unaangalia Primera Liga, maana ungekuwa much more informed kuliko hizi sweeping statement unatoa hapa!!!! Nafakiri unashindwa kuelewa kwamba the only reason Ronaldo hajachukua ubingwa wa Spain ni uwepo wa timu nzuri sana ya Barcelona, na sio individual perfomance yake....na kuna kila dalili Mourniho anapunguza gap alilolikuta wakati anafika, just matter of time watanyanyua ndoo. Jaribu kufanya uchunguzi japo kidogo kama unavyoagiza wengine.