Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Mkuu we acha tu tumeongelea sana kuhusu ilo swala jamaa haelewi hadi tumeamua tu kukaa kimya.Uzi wenu Unaenda kwa sababu Rutashubanyuma anapost mapicha kila siku. Mpaka sasa kashapost mapicha kama 30 hivi. Sasa kwa nini uzi usiende?
One surprise in Mourinho's line-up was the inclusion of Ashley Young at right wing-back instead of Antonio Valencia, who was deployed in a back three alongside Phil Jones and Chris Smalling.
Hapa jaman had muda huu najiuliza kwa nn young acheze mbili kwa ile form yake akichezaga 3 anavyokuwa moto huyo valencia ukimtupa kwake no.2 daa una muacha lindelof bench na blind unawachezesha wachezaji hovyo hovyo hata pass watapigaje? Mkhitaryan anaonekana kapotea timu imechanganywa lukaku hana wa kumuunganisha daaa leo nimeona kitu cha ajabu sana tunawachezaji wazur sana ile timu awe na sir alex sijui wakumkamata nani
Msimu huu MAN CITY kombe lakee. .bisheni.
Umeangalia mechi gani??Sababu Ya Kumpeleka Valencia Full Back Left ni Kuona Kuwa Mo Salah anatokea Upande Wa Kulia Kwahiyo Alimpeleka Akamzuie Kwasababu Salah Ana Kasi Sana...
Kuhusu Herrera Mourinho Alikariri Last Season Alipomzuia Harzad! Leo Alimuingiza Kwa Ajili ya Coutinho..
Still to early to push the panic button! Let's wait for December when teams play in UCL, FA, LC and EPL games back and forth.
Umeangalia mechi gani??
Darmian alicheza left back
Valencia alicheza right back
Young alicheza right wing
Martial alicheza left wing



Sababu Ya Kumpeleka Valencia Full Back Left ni Kuona Kuwa Mo Salah anatokea Upande Wa Kulia Kwahiyo Alimpeleka Akamzuie Kwasababu Salah Ana Kasi Sana...
Kuhusu Herrera Mourinho Alikariri Last Season Alipomzuia Harzad! Leo Alimuingiza Kwa Ajili ya Coutinho..


Msimu huu MAN CITY kombe lakee. .bisheni.






Mkuu wamekufa ngapi? Mbona waliwazidi sana madogo mwanzoniArsenal naye kaumizwa huko😀😀😀
Mkuu wamekufa ngapi? Mbona waliwazidi sana madogo mwanzoni
