Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

  1. Belo maneno yako yapo sahihi ya kwamba game plan ya mourinho imefanya kazi lakini suali la kujiuliza inamaana mechi zote za liverpool kwenye uwanja wa Anfield tutaendelea kucheza kwa kiwango kama hichi utafikiri timu ya Shaba ya pemba?
  2. nawakumbusha tu wapenzi wenzangu wa manchester united tutakapotembelea viwanja vya emirates na etihad tutacheza tena mpira kama huu na eti sababu kubwa ni wapinzani wetu wanamiliki sana mpira kuliko sisi na ushahidi wa hili jaribunui kurejea mechi za msimu uliopita.
  3. inamaana mechi zote tutakazocheza ugenini dhidi ya timu yenye winga wazuri mlinzi wa kushoto atakuwa matteo darmian,mwanadamu ambaye ndani ya dakika 90 anavuka mara 5 tu kwenye mstari wa kati.Kwa mchezaji aina ya darmian hata kama winga wako ni neymar basi ataonekana kilaza, nashindwa kuelewa kwa nini mourinho alishindwa kumruhusu aende juventus.
  4. jamani hawa wachezaji wetu huwa hawafanyi mazoezi ya kumiliki mpira, kwa sababu tukikutana na timu inayomiliki mpira kidogo wanapoteana uwanjani utafikiri kama wamefungwa mawe miguuni.
  5. lukaku anapaswa kuangalia video za messi apate kujifunza utulivu anapokuwa kwenye eneo la hatari, haiwezekani kila mechi awe ni yeye tu anayekosa magoli ya wazi. akiendelea na tabia hii ipo siku atamtapisha mtu.
  6. kwa mpira tuliocheza leo phil jones hapaswi kuendelea kukaa manchester united kwa sababu anacheza na vilaza, namuonea huruma sana kwa jinsi anavyojituma
  7. mwisho niwambie washabiki wa liverpool wanaopita kwenye thread hii ya kwamba kama munataka ubingwa basi munapaswa kwanza mutafute mshambuliaji, haiwezekani munaingia kwenye boksi la adui mara 20 lakini kipa wa timu pinzani anaokoa shambulizi moja tu la hatari
 
Mourinho anazingua xna yan tutammis sana Fergie hakuna timu hapa ubingwa unanoga tulizifunga timu kubwa city watafuua in short hata chelsea atatufunga..mtu unajipiga kutoa kiingilio kwenda kuangalia game kocha analeta umbwa
Hapa ubingwa tusahau mkuu,sio kwa approach hizi za ajabu ajabu kabisa. Kisingizio utasikia fella na pogba.
 
Wala msikate tamaa wana MUFC, we are still on right track. Shida ya Leo ni kukosa mbadala ma Magic. Matic alicheza vizuri kipindi cha kwanza, sijui aliumia au alichoka. Pia kukosekana kwa Pogba na Fellain kulizidisha ugumu pale kati kwani Miki hakuna kwenye form vizuri. Ni lazima Mou aanze kutumia Carrick. Vinginevyo timu itakuwa haipandi.
 
  1. Belo maneno yako yapo sahihi ya kwamba game plan ya mourinho imefanya kazi lakini suali la kujiuliza inamaana mechi zote za liverpool kwenye uwanja wa Anfield tutaendelea kucheza kwa kiwango kama hichi utafikiri timu ya Shaba ya pemba?
  2. nawakumbusha tu wapenzi wenzangu wa manchester united tutakapotembelea viwanja vya emirates na etihad tutacheza tena mpira kama huu na eti sababu kubwa ni wapinzani wetu wanamiliki sana mpira kuliko sisi na ushahidi wa hili jaribunui kurejea mechi za msimu uliopita.
  3. inamaana mechi zote tutakazocheza ugenini dhidi ya timu yenye winga wazuri mlinzi wa kushoto atakuwa matteo darmian,mwanadamu ambaye ndani ya dakika 90 anavuka mara 5 tu kwenye mstari wa kati.Kwa mchezaji aina ya darmian hata kama winga wako ni neymar basi ataonekana kilaza, nashindwa kuelewa kwa nini mourinho alishindwa kumruhusu aende juventus.
  4. jamani hawa wachezaji wetu huwa hawafanyi mazoezi ya kumiliki mpira, kwa sababu tukikutana na timu inayomiliki mpira kidogo wanapoteana uwanjani utafikiri kama wamefungwa mawe miguuni.
  5. lukaku anapaswa kuangalia video za messi apate kujifunza utulivu anapokuwa kwenye eneo la hatari, haiwezekani kila mechi awe ni yeye tu anayekosa magoli ya wazi. akiendelea na tabia hii ipo siku atamtapisha mtu.
  6. kwa mpira tuliocheza leo phil jones hapaswi kuendelea kukaa manchester united kwa sababu anacheza na vilaza, namuonea huruma sana kwa jinsi anavyojituma
  7. mwisho niwambie washabiki wa liverpool wanaopita kwenye thread hii ya kwamba kama munataka ubingwa basi munapaswa kwanza mutafute mshambuliaji, haiwezekani munaingia kwenye boksi la adui mara 20 lakini kipa wa timu pinzani anaokoa shambulizi moja tu la hatari
Jones dah acha tu na mimi nimeyawaza hayo je katika big 6 zote tutacheza hivi kisa tunatafuta point moja?
 
Herrera sijui kawaje namuona tu toka gem ya madrid,stoke na hawa liver nahis hana mashirikiano mazur na matic
 
One surprise in Mourinho's line-up was the inclusion of Ashley Young at right wing-back instead of Antonio Valencia, who was deployed in a back three alongside Phil Jones and Chris Smalling.

Hapa jaman had muda huu najiuliza kwa nn young acheze mbili kwa ile form yake akichezaga 3 anavyokuwa moto huyo valencia ukimtupa kwake no.2 daa una muacha lindelof bench na blind unawachezesha wachezaji hovyo hovyo hata pass watapigaje? Mkhitaryan anaonekana kapotea timu imechanganywa lukaku hana wa kumuunganisha daaa leo nimeona kitu cha ajabu sana tunawachezaji wazur sana ile timu awe na sir alex sijui wakumkamata nani
 
Hongereni kwa De Gea...!

The best in EPL so far...nadhani hata ulaya yupi top kabisa...sawa na yule mjerumani anayecheza nafasi zote, Manuel Neuer

a9adee2fa947cc735e2a216b4faa9ce7.jpg
 
Back
Top Bottom