Vwasu
Member
- Jul 14, 2016
- 28
- 34
Leo ni game plan tu. Mechi za upinzani wa jadi huwa ngumu sana mf hapa kwetu hata mwaka ambao Simba wabaya wanapoteza kila game lkn wakikutana na Yanga wanashinda. Naamini katika tactics za Mou.Sijui kama man city ana mshindani mwaka huu, hasa kwa kiwango tulichoonesha leo
