Kwani man u kuna Matic wangapiMatic yupi huyo unamzungumzia?
Mechi imeisha 0-0 Anfield,kama draw ni kufungwa leo tumefungwa na LiverpoolHakuna jambo kama hilo kwenye mpira wa miguu. Mnatafuta sababu ya kushindwa na Liverpool
kwani nyie mmewafunga ngapi Arsenal tena kwenuWalikuwa wanakufa Leo. Lukaku hajaonekana kabisaaa. Matic kapotea.
Wanawafunga watoto wanasema wanajua.
Mkuu mm hela yq kubet na kuchek game zote zimeendaAcha kabisa yani naona sitakua naangalia hizi big match nitapata ugonjwa wa moyo bure.
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Uzi wenu Unaenda kwa sababu Rutashubanyuma anapost mapicha kila siku. Mpaka sasa kashapost mapicha kama 30 hivi. Sasa kwa nini uzi usiende?Mkuu uzi wenu hauendi sababu ya umbeya
Acha maneno mengi. Njoo ushangilie Chelsea. Inaua MTU.kwani nyie mmewafunga ngapi Arsenal tena kwenu
Haya na nyie mkatume picha uzi wenu uende mbona suala dogo sanaUzi wenu Unaenda kwa sababu Rutashubanyuma anapost mapicha kila siku. Mpaka sasa kashapost mapicha kama 30 hivi. Sasa kwa nini uzi usiende?
Mkuu umenena kitu kizuri sana yan nimeshangaa sana kang'ang'ania mipira ya juu dakika zote wakati anajua plan imegoma darmian poor smalling angetufungisha anachanganyikiwa nahis anavutq bangi yuleGame plan ya kocha ilikuwa mbovu but nashangaa imekuwaje wachezaji hata kupiga pasi,kutuliza mpira wanashindwa
Hata kwenu kuna mapicha lakini huoni nawewe kushinda huku kuliko huko ni sababu?Uzi wenu Unaenda kwa sababu Rutashubanyuma anapost mapicha kila siku. Mpaka sasa kashapost mapicha kama 30 hivi. Sasa kwa nini uzi usiende?
Mkuu vipi unaendeleaje na cabayeWalikuwa wanakufa Leo. Lukaku hajaonekana kabisaaa. Matic kapotea.
Wanawafunga watoto wanasema wanajua.

Kwahiyo mavi united ni CCM?Ukawa na Man U wapi na wapi?