Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wazee wa 4G naona mmeanza big teams ki-design.
Na hapo bado Man City ambaye amekamilika kila idara, Tottenham ambaye safu yake ya ushambuliaji iko vizuri lkn pia ulinzi wake ni imara, Chelsea ambayo imekamilika safu ya ulinzi, viungo na mwishoni kuna akina Pedro, Hazard na Morata; na Arsenal. Achana na Liverpool yenye ulinzi mbovu na haina mtu wa kamalizia maana mnaona wanatengeneza nafasi nyingi ila hawafungi
Naona Mwana Ukawa umeleta uchambuzi wako.
 
Wazee wa 4G naona mmeanza big teams ki-design.Na hapo bado Man City ambaye amekamilika kila idara, Tottenham ambaye safu yake ya ushambuliaji iko vizuri lkn pia ulinzi wake ni imara, Chelsea ambayo imekamilika safu ya ulinzi, viungo na mwishoni kuna akina Pedro, Hazard na Morata; na Arsenal. Achana na Liverpool yenye ulinzi mbovu na haina mtu wa kamalizia maana mnaona wanatengeneza nafasi nyingi ila hawafungi
 
Screenshot_2017-10-14-16-24-41.png
 
Mourinho anazingua xna yan tutammis sana Fergie hakuna timu hapa ubingwa unanoga tulizifunga timu kubwa city watafuua in short hata chelsea atatufunga..mtu unajipiga kutoa kiingilio kwenda kuangalia game kocha analeta umbwa
 
Back
Top Bottom