Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1507987501369.jpg
 
Wazee wa 4G naona mmeanza big teams ki-design.Na hapo bado Man City ambaye amekamilika kila idara, Tottenham ambaye safu yake ya ushambuliaji iko vizuri lkn pia ulinzi wake ni imara, Chelsea ambayo imekamilika safu ya ulinzi, viungo na mwishoni kuna akina Pedro, Hazard na Morata; na Arsenal. Achana na Liverpool yenye ulinzi mbovu na haina mtu wa kamalizia maana mnaona wanatengeneza nafasi nyingi ila hawafungi
Nakuuliza ulitaka tushinde au tufungwe maana uweleweki????!!!!
 
Wazee wa 4G naona mmeanza big teams ki-design.Na hapo bado Man City ambaye amekamilika kila idara, Tottenham ambaye safu yake ya ushambuliaji iko vizuri lkn pia ulinzi wake ni imara, Chelsea ambayo imekamilika safu ya ulinzi, viungo na mwishoni kuna akina Pedro, Hazard na Morata; na Arsenal. Achana na Liverpool yenye ulinzi mbovu na haina mtu wa kamalizia maana mnaona wanatengeneza nafasi nyingi ila hawafungi
Mkuu unavuta bangi gani wewe shabiki wq Chelsea nyie pale mbele mnaotea tu
 
Back
Top Bottom