Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Nakuuliza ulitaka tushinde au tufungwe maana uweleweki????!!!!Wazee wa 4G naona mmeanza big teams ki-design.Na hapo bado Man City ambaye amekamilika kila idara, Tottenham ambaye safu yake ya ushambuliaji iko vizuri lkn pia ulinzi wake ni imara, Chelsea ambayo imekamilika safu ya ulinzi, viungo na mwishoni kuna akina Pedro, Hazard na Morata; na Arsenal. Achana na Liverpool yenye ulinzi mbovu na haina mtu wa kamalizia maana mnaona wanatengeneza nafasi nyingi ila hawafungi
Mkuu city watatubamiza game ya leo imenipa hasira had nimeombea tupigwe mou akili imkae sawa game hizi inahitaji timu icheze mpira sasa analeta uchelseaKwa mchezo huu sitaki kuwaza Man City watatufanya nini NARUDIA SITAKI KUWAZA KABISA.
yanaweza tokea ya goli 6

Ugenini kugumu mkuuMourinho anazingua xna yan tutammis sana Fergie hakuna timu hapa ubingwa unanoga tulizifunga timu kubwa city watafuua in short hata chelsea atatufunga..mtu unajipiga kutoa kiingilio kwenda kuangalia game kocha analeta umbwa
Anayeamua ushindi ni wachezaji, kocha na management. Sisi wa vibanda umiza huku hatuna mchango katika matokeo ya timuNakuuliza ulitaka tushinde au tufungwe maana uweleweki????!!!!
Mkuu unavuta bangi ganiWazee wa 4G naona mmeanza big teams ki-design.Na hapo bado Man City ambaye amekamilika kila idara, Tottenham ambaye safu yake ya ushambuliaji iko vizuri lkn pia ulinzi wake ni imara, Chelsea ambayo imekamilika safu ya ulinzi, viungo na mwishoni kuna akina Pedro, Hazard na Morata; na Arsenal. Achana na Liverpool yenye ulinzi mbovu na haina mtu wa kamalizia maana mnaona wanatengeneza nafasi nyingi ila hawafungi
wewe shabiki wq Chelsea nyie pale mbele mnaotea tu

I said it na hapa nairudia baada ya mechi. Man U bila Pogba hakuna muunganikoMan U bila Pogba Hamna cha maana mnachoweza kufanya.