Hongeera mashetan wenzangu.....didnt get tm to watch the game, hope we did great (kama kawaida yetu).
You really missed a great deal, Tafuta hata recorded uangalie.
Itabidi na mimi nitafute recorded manake niliikosa hii game, ngeleja alifanya mambo bila kutarajiwa.
Hatahivyo kazi nzuri vijana kwa kuanza kwa kishindo msimu huu, si kawaida yetu, nadhani SAF amekuja na strategy mpya mwaka huu, na hawa machalii Phil Jones na John Evans inaonekana watakuwa bonge la partnership.
Kaka hawa vijana ni Balaa, Johny Evans alisemama vizuri mno. Huyu phili Jones asikwambie mtu. Kuna moja aliblock hadi raha, Jamaa alikua Ndani ya box kumchungulia De Gea, sijui, Dogo Jones akalal chini mzima mzima kublock ile shot. It was a very Entertaining to a manu Fan, Wapinzani jana matumbo joto tu.
Hongeera mashetan wenzangu.....didnt get tm to watch the game, hope we did great (kama kawaida yetu).
Same here mkuu, sikuangalia game jana!..am glad we did it kama kawaida yetu!!..Bravooo fellow fans🙂)))
![]()
the crying manager ... .... ...
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Subiri kipigo wiki ijayo wewe,anza kutafuta visingizio kabisa maana msimu huu hatuna msamaha kwa vibonde
Nakwambia hivi next week kiboko yenu Park Ji Sung anaanza na Chicharito pale mbele .Nasubiri porojo zako kuwa tumemwaga mpungaMechi ya mwisho nani alifungwa? Wacha kelele kajipange upya khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee cry babies ... .... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeee one man team.
Nakwambia hivi next week kiboko yenu Park Ji Sung anaanza na Chicharito pale mbele .Nasubiri porojo zako kuwa tumemwaga mpunga
![]()
the crying manager ... .... ...
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Asante mkuu....mje na kapu na magoli OT weekend ijayo.
This is what makes the difference Between wenger and Fergie in Keeping his star players