Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi ni wimbo gani huo wanao imba mashabiki wa Manchester United kuhusu lukaku? Hii habari nakutana nayo nashindwa kuelewa kuna tatizo gani katika huo wimbo? Je una viashiria vyovyote vya ubaguzi?
 
Why Jose Mourinho was sent off late on in Man Utd win over Southampton
IMG_1481.jpg

Man Utd boss Jose Mourinho was sent off from the touchline in the dying stages of his side’s win over Southampton for entering the field.

As reported by Sky Sports, referee Craig Pawson opted to send him off in stoppage time as he encroached onto the pitch. However, Mourinho kept his cool and shook hands with the Southampton staff before making his way down the tunnel.

Based on the image below which shows the ‘incident’, it hardly looks like the worst misdemeanour that we’ve ever seen but rules are rules and Pawson has stuck to his guns.
DKa-7RoXUAE5AIX.png

It’s unlikely that the decision would have soured Mourinho’s mood too much as he wasn’t particularly grumpy in his post-match interview.

And why would he be with Man Utd securing another win in a tough game which keeps them level with rivals Man City at the top of the Premier League table with six games gone having collected 16 points and remaining unbeaten.
 
Hivi ni wimbo gani huo wanao imba mashabiki wa Manchester United kuhusu lukaku? Hii habari nakutana nayo nashindwa kuelewa kuna tatizo gani katika huo wimbo? Je una viashiria vyovyote vya ubaguzi?
Wimbo wa kishangilia ambao wanamtaja lukaku Kama kumsifia ila maneno yake ukiyachambua inasmekana yamebase kwenye ubaguzi wa rangi kwa sababu wanasema "he has a 24 inches DICK"

Yani ana uume wa inchi 24
 
Mou leo sijamuelewa....

Timu yetu kwa sasa inaogopeka karibu na kila timu hapa EPL, Kwanini acheze kwa kujihami namna hii.? Timu ikishaanza kucheza mchezo wa ku defend inakuwa under pressure muda wote...

Tumewaacha Soton wajitawalie mchezo kipindi cha pili utafikiri wanacheza na C.palace..!! Wametuchezesha utafikiri si timu iliyoko kileleni. Najua alikuwa uwanjani huku akiiwaza mechi ijayo CL... lakini bado hakutakiwa kujilinda namna hiyo.

Timu zote duniani kwa sasa hazilindi kigoli kimoja (hata yangekuwa 4g) kwa kujilinda namna hii... Beki 6 plus 3DM....!!! Hapana Mou siku nyingine usifanye hivyo aisee wengine tumetoka kutibu Madonda ya tumbo kama si pressure juzi tu hapa.

Hongera zetu kwa ushindi though...!!
Hahahaha eti timu yenu inaogopeka.

Hahaha acha kujidanganya mkuu
 
Wimbo wa kishangilia ambao wanamtaja lukaku Kama kumsifia ila maneno yake ukiyachambua inasmekana yamebase kwenye ubaguzi wa rangi kwa sababu wanasema "he has a 24 inches DICK"

Yani ana uume wa inchi 24
Nashukuru mkuu maana taarifa ilikua inaandikwa pasipo kuelezea nini kinachoimbwa.
 
GEMU YA LEO MLISHIKWA PABAYA SANA..

NA HII INAONYESHA NI KWA JINSI GANI MECHI ZA UGENINI ZITAKAVYOWATESA.
 
Mechi ya Stoke na ya leo tunaonekana ku-struggle siyo kwa ubora wa timu hizo bali hatupo vizuri hasa katikati ya Kiwanja. Kasi ya timu ni ndogo.
Mechi 38 huwezi kucheza zote vizuri cha msingi ni kupata matokeo hata kama hujacheza vizuri hii ilikuwa game ya kufungwa,viungo/winga wote walikuwa wanaonekana wamechoka Lukaku alikuwa isolated peke yake.Pogba ndio most creative midfielder wa United yeye mara nyingi ndio anaanzisha movie za mashambulizi asipocheza pengo lake linaonekana. Baada ya kuona Saints wametawala kati na wanashambulia upande wa Young na kumpa kazi Jones ilibidi Jose abadilishe mfumo akawaingiza Smalling na Herrera kuchezesha 3-5-2 ambayo ilisaidia kwenye kuzuia
 
Mechi ya Stoke na ya leo tunaonekana ku-struggle siyo kwa ubora wa timu hizo bali hatupo vizuri hasa katikati ya Kiwanja. Kasi ya timu ni ndogo.
Pamoja na kufungwa leo,Stoke ni moja ya timu inayocheza mpira mzuri sana msimu huu.Nimeangalia mechi zao dhidi ya Arsenal,United na Chelsea mechi zote wamecheza vizuri sana leo licha ya kufungwa wao ndio walikuwa wametawala mpira wakafanya mistake kwenye kuzuia
 
Back
Top Bottom