Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mechi ya leo ilikuwa ngumu..na kocha wetu ndo aliiongeza ugumu baada ya kupaki basi niliona had rashford karudi kuwa beki..binafsi sipendagi tabia ya kupaki basi ila at least tumepata goli na point tatu muhimu ugenini..!! GGMU!! GGMU!!
 
That's what champions do! Siyo kila siku ucheze vilevile ili kupata points 3. Napenda José anachokifanya United.
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Mkuu karibu tena jukwani. Tulikumiss kwa kweli
 
FB_IMG_1506189446243.jpg
 
Ndo tabia yake mkuu....ingawa kwa mtazamo wangu sidhan kama ni nzuri..game iliyopita alikata kumpa mkono kocha wa stoke na sio mara ya kwanza kwa mau kuonyesha hizi tabia mbili

Mi na mtetea katolewa kwa sababu alikuwa akiongea na mchezaji wetu kama uliangalia gem ya bournermouth pep alikuwa akifanya vile pia kocha wa stoke city ni mgomv sio kocha wetu kishamfanyia wenger ule uhuni mara nyingi
 
Back
Top Bottom