Leo nahisi nimepoteza kilo mbili kwa dakika 90!Tutakuja kupena kisukari hivi Mou aisee.
He was SENT OFF...Ndo tabia yake mkuu....ingawa kwa mtazamo wangu sidhan kama ni nzuri..game iliyopita alikata kumpa mkono kocha wa stoke na sio mara ya kwanza kwa mau kuonyesha hizi tabia mbili
Ndo tabia yake mkuu....ingawa kwa mtazamo wangu sidhan kama ni nzuri..game iliyopita alikata kumpa mkono kocha wa stoke na sio mara ya kwanza kwa mau kuonyesha hizi tabia mbili
Katolewa na refa...kwasababu zilibaki dk chache hakuona sababu ya kukaa jukwaani.Mou amefanya nini niliona anatoka nje kabla ya game kuisha
Stoke city walipo sasa wanamuaza morahatrick.....!!!!Hivi nyie Stoke City aliwashinda nini.? Mbona wepesi tu. Au kwakua hamkua na Morata
Hahaaa.. Mkuu hizi ndio kazi zetu.hongereni mkuu naona mmewashikisha adabu na mpira wao wa manguvunguvu
Hahaaa.. Siyo mchezo mzeeStoke city walipo sasa wanamuaza morahatrick.....!!!!
Hahaha mkuu tukienda hivi mechi 3 utaisha aisee.Leo nahisi nimepoteza kilo mbili kwa dakika 90!
N where is lacazete mbona simuoni hapo? Si hujuma hizi.Lukaku goals 6
Aguero goals 6
Morata goals 6
Hii kasi si ya mchezo
Mkuu karibu tena jukwani. Tulikumiss kwa kweliThat's what champions do! Siyo kila siku ucheze vilevile ili kupata points 3. Napenda José anachokifanya United.
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Ndo tabia yake mkuu....ingawa kwa mtazamo wangu sidhan kama ni nzuri..game iliyopita alikata kumpa mkono kocha wa stoke na sio mara ya kwanza kwa mau kuonyesha hizi tabia mbili