Bloodstone
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 922
- 996
Mou anazingua nae sometimes na tactics zake... Martial , Herrera..wanaanziaje bench ?Pamoja na ushindi wa jana...binafsi bado sijaelewa Mourinho alitumia upeo upi kumuingiza Lingard ahead of Martial na baadae kumpatia Martial dakika 6 tu za kumalizia mchezo...ndio, Martial alibahatika kupata goli,lakini je ilikua sawa kumpatia nafasi finyu kiasi kile ukizingatia uwezo wake?