D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
manchester united ndio timu pekee duniani ambayo wachezaji wake wanawania kuanzia benchi kwenye mechi.
- lord fellaini akianzia benchi akiingia anabadilisha movement nzima ya timu
- martial akitokea benchi anafunga magoli
- rashford akitokea benchi anafunga magoli
- lingard akitokea benchi ana assist magoli nina wasiwasi mechi ijayo martial na rashford watagoma kuanza kikosi cha kwanza kwa sababu kila mmoja atamtegea mwenzake hivyo basi jose mourinho anapaswa aende uwanjani na bakora kama mwalim wa madrassa.

