herrera
Senior Member
- Jul 30, 2017
- 108
- 260
Bado tunamuhitaji sana perisic, hata kama sio perisic basi tupate natural winger, mechi ya jana imedhibitisha kwa maboko waliyokua wanatoa Valencia na blind.Mkuu kuna rashford na martial hawa wanatosha sna pia tuna madogo kwenye academy kama angel gomes anahitaj kupanda bado perreira kifupi wapo wengi kaliba yake.
Rashford na martial sio natural winger, hawana uwezo wa kupiga cross, perisic bado tunamuhitaji sana