NdiyoThe teh unazo??
NdiyoThe teh unazo??
MmmmmhMbupu...ha ha
Comment ya last week..Pia mwambie asahau Fellaini kuuzwa...


Teh but tupongezane kwa ushindi hakika ulizibanaNdiyo
Ndio imeanza leo sio?Sasa nyie MWANITESA YUNAITEDI leo ndo mnaanza Ligi sasa, Ushindi wa leo utatoa mwanga kidogo na wala sio mabonanza mlocheza wiki mbili zilizopiTa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeanza kupunguza idadi ya magoli.
Kutoka kushinda 4 mpk 2
Kitambo kidogo tutaanza
kupunguza na point...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa jeeMmmmmh
Hakika mkuu.Teh but tupongezane kwa ushindi hakika ulizibana
Watasema bado..Ndio imeanza leo sio?
Naona tumevutwa shati kwenye magoli leo
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Messi nae kakosa penalty, sio habariHongereni kwa ushindi wekundu naona mpo on fireeee.
Likakuu Leo kakosa penati wala siyo habari ya mjini.....Morata au Lacazzete wangekosa ingekuwa habari ya mjini....!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app