Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

First weekend of the premier league and already fans of small teams like Huddersfield town and Manchester united think they're title contenders.

 
Sahau kuhusu fellaini kukosa namba mkuu...

Fellaini ni Ball destroyer kwa Taarifa yako.

Na mourihno anapenda sana viungo wanaokaba na kuharibu mipira ya wapinzani..

Sasa Matic, Herrera na Fellaini ni viungo wa staili hiyo...na mou hawezi kuwauza hata kidogo.
Mkuu una akili sana...Fellaini ni habari nyingine. Kiungo,Forward&Beki zote hizi anazicheza kwa wakati mmoja. Utamuona kule mbele anapambana kupiga mpira kicjwa afunge, muda huo huo utamuona anapiga kichwa kuokoa mpira golini kwake. Ni hazina kubwa kwa United hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
4abfd8a7e37b77ba36bcaa058d1a58b2.jpg
 
First weekend of the premier league and already fans of small teams like Huddersfield town and Manchester united think they're title contenders.

You commented just because you have an electronic device, not because you have knowledge on football.

How do you consider a club as big in football?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom