Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,924
- 27,163
Hahahaaaaa... Hahahaaaaa..
Eti UEFA.?

Eti UEFA.?


Burnley siyo kibonde kwa sababu hakuna timu ya top 4 iliyo mpiga nje ndani msimu uliopita. Hakuna. Utamuitaje kibonde? Tofauti na West ham jamvi la wageni.Ukibonde Huja Pale Watarajio Yenu Yanapofeli Hapo Unajipoza Machungu Tu Umeweka Na Ka Uefa Kunywa Panadol Kupoza Maumivu Hutak Chomoeni Goli 4
Chelsea Kapigwa Sijaona Walipoandikwa Kibonde Amfunga Chelsea Au Man City Kamfunga Kibonde Haterz Bana.
Wampe no. 7 tuu
Burnley siyo kibonde kwa sababu hakuna timu ya top 4 iliyo mpiga nje ndani msimu uliopita. Hakuna. Utamuitaje kibonde? Tofauti na West ham jamvi la wageni.
The special one...Hii ndio Manchester united ninayo ifahamu.
Mou bring back our glorious days. GGMU
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu utaua watu kwa Presha...View attachment 565191 Tuanzie hapa kwanza
Hahaha nipo sikuhiz nabadilika nakuja game ikiisha..
Unachelewa sana Dada angu
Inabidi waimeze japo ngumMkuu utaua watu kwa Presha...
Mkuu..Hahaha nipo sikuhiz nabadilika nakuja game ikiisha.
Hahaha tutashinda tuWewe ulianza Jana aisee
Kwa EPL nakubaliana nawe..Ila UCL bado u need at least 2 more years.Game ya Madrid ilikua kipimo kizuri zaidi ya west ham.Mechi ya leo imeonesha tulichokuwa tunakikosa msimu uliopita.
Tulikosa wachezaji wawili na ndio tumewapata.
Matic na Lukaku, mchezaji wa kuweza kuzuia mashambulizi ya wapinzani na mchezaji wa kusukumia mpira wavuni.
Msimu uliopita tulitengeneza nafasi nyingi sana ila wa kumalizia alikuwa mzee Ibra tu.
Nategemea kuona msimu wa mafanikio.
EPL na UCL ndio malengo ya msimu huu.
Yani wewe uko kama kuku aliyekata kichwa!!Kwanini Chelsea ikifungwa mnafurahi sana ..kuliko timu zingine zikifungwa? Why Chelsea?
Mnapenda kujilinganisha mnoo na Chelsea, matic tumewapa, kocha tumewapa, mata tuliwapa.. mnataka nin tena!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha mechi zipo ila sio Man unitedHivi wakuu hatuna mechi nyingine katikati ya wiki ya kesho?? Jmosi mbali sana naona Halafu mpira uliwahi kuisha sana leo sijui sababu ya matic au lukaku, anyway ngoja nilale naweza kuota mechi yote tena.
Chelsea halaaaaaaaaaaa baby
Sent From Heaven