laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 9,984
- 9,757
hii West Ham hata Singida United wanawafunga
welcome back mkuuMsimu uliopita west ham ilishika nafasi ya 11, watford 16 na burnley 17, hope hii itakusaidia yupi kibonde kati ya hao




hii West Ham hata Singida United wanawafunga
hii West Ham hata Singida United wanawafunga
Mou kasajili timu ya kuchukua EPL tu ndio kiu tuliyonayo huko kwingine hata fergie alichemka miaka yote
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Hizi timu dhaifu (ikiwamo West Ham) msimu uliopita ndio zilitokesesha ubingwa kwa kutoa sare 15 nyingi zikiwa Old TraffordMechi ya jana haiwezi kuwa kipimo kizuri kuonyesha ubora wa Man United kwa msimu huu wa ligi. Ukweli ni kwamba West Ham ni timu dhaifu sana kwa sasa! Katika michezo mitano iliyopita haijapata ushindi zaidi ya sare tena ikicheza na timu dhaifu tu!
Tusubiri Man U ikicheza na timu zenye uwezo! View attachment 565503
Mou anachopenda kutoka kwa mchezaji yoyote Ni consistence hataki mchezaji Leo yupo vizur kesho yuko hivo angalau kazi ya magic matic kaanza game mbili lakin yuko visit na Ni mgeni mi ninachona mou bana chuki ila anahitaji wachazaje wake wajiamni na ukiangalia Herrera mechi ya Madrid alipotea martial akiendelea hivo bhasi atapata namba watu kwenye uhakika na namba zao Ni degea Valencia bailly Micky lukaku pogba na may be magic kwa sasa ila hawa wengine Wacha wapambne the more ukiwa unaperform vizur na ukaleta positive attitude kwa kiwanja bhas namba yako nawasilishKama Mourinho angekuwa hawataki angekuwa ameshawauza,Inter/ROMA walimtaka Martial kwa mkopo Mourinho akagoma juzi Spurs wameleta official bid Mourinho amegoma kumuuza now Martial anatakiwa acheze mpira na ku-mprove wrong Mourinho
Mechi ya jana haiwezi kuwa kipimo kizuri kuonyesha ubora wa Man United kwa msimu huu wa ligi. Ukweli ni kwamba West Ham ni timu dhaifu sana kwa sasa! Katika michezo mitano iliyopita haijapata ushindi zaidi ya sare tena ikicheza na timu dhaifu tu!
Tusubiri Man U ikicheza na timu zenye uwezo! View attachment 565503

Mkuu sio goli 4.Hapo tayari chelsea kazidiwa na man u point tatu na magoli manne,,,
Ni mwendo wa kuchanja mbuga mwaka huu gepu hilo asee limeanza
![]()
Hakuna tv inayoonesha hata mazoezi ya matic maana jumatatu imepoa mno mazee
Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
Makinikia yalitaka kunipoteza mkuuKushinda mtashinda tu,
Umeadimika sana aisee

