Mkuu ile shuti mwenyewe wala sikutegemea aisee. Dogo ni shidaRashford Hatar Sana Huyu Lile Shuti Lilogonga Nguzo Hatar Sana Ngoja Kaongezeke Mwili Na Umr Itakuwa Shida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ile shuti mwenyewe wala sikutegemea aisee. Dogo ni shidaRashford Hatar Sana Huyu Lile Shuti Lilogonga Nguzo Hatar Sana Ngoja Kaongezeke Mwili Na Umr Itakuwa Shida.
Ideal man u.....the dreamed teamEbwan nilimiss sana perfomance kama hii hadi nimeota usiku ha ha
Leo Nimecheka sana, naona mashabiki wa MWANITESA YUNAITEDI mmeshajitabilia kuchukua UEFA kabisa.....jaman msidanganyike na kamechi kamoja tena kakibonde West Ham
Sent using Jamii Forums mobile app

Ndiyo ndiyo, nimelazima kutokea hadharani, huu siyo mwaka wa low profile. Ishara moja wapo ya furaha ni kucheka.Yaani nimecheka aiseeee...
Sijui ulikuwa umejificha wapi jamaa kakuchoropoa kama mtu anayechokonoa panya kwenye shimo la nyoka
Pole sana mkuu GGMU GGMU GGMU
Sent using Jamii Forums mobile app
OK let's wait and seeKama Mourinho angekuwa hawataki angekuwa ameshawauza,Inter/ROMA walimtaka Martial kwa mkopo Mourinho akagoma juzi Spurs wameleta official bid Mourinho amegoma kumuuza now Martial anatakiwa acheze mpira na ku-mprove wrong Mourinho
Bora umekuwa Mkwel
Mechi ya jana haiwezi kuwa kipimo kizuri kuonyesha ubora wa Man United kwa msimu huu wa ligi. Ukweli ni kwamba West Ham ni timu dhaifu sana kwa sasa! Katika michezo mitano iliyopita haijapata ushindi zaidi ya sare tena ikicheza na timu dhaifu tu!
Tusubiri Man U ikicheza na timu zenye uwezo! View attachment 565503
Cha msingi sisi tushashinda tena goli 4, points 3 muhimu na clean sheet.Mechi ya jana haiwezi kuwa kipimo kizuri kuonyesha ubora wa Man United kwa msimu huu wa ligi. Ukweli ni kwamba West Ham ni timu dhaifu sana kwa sasa! Katika michezo mitano iliyopita haijapata ushindi zaidi ya sare tena ikicheza na timu dhaifu tu!
Tusubiri Man U ikicheza na timu zenye uwezo! View attachment 565503
Msimu uliopita west ham ilishika nafasi ya 11, watford 16 na burnley 17, hope hii itakusaidia yupi kibonde kati ya haoMechi ya jana haiwezi kuwa kipimo kizuri kuonyesha ubora wa Man United kwa msimu huu wa ligi. Ukweli ni kwamba West Ham ni timu dhaifu sana kwa sasa! Katika michezo mitano iliyopita haijapata ushindi zaidi ya sare tena ikicheza na timu dhaifu tu!
Tusubiri Man U ikicheza na timu zenye uwezo! View attachment 565503
Morata aliingia dakika ya 60+ akafunga goli Moja na assist Moja
Martial aliingia dakika ya 80+ akafunga goli Moja na assist Moja.
Question of the day
Ingekuwaje kama martial angeingia dakika ya 60+?
Morata was tz nchi imekushinda😀







