Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

8434e3bb770a1788f40f41c7daefd2df.gif

Ndio maana mashabiki wa United tunachukiwa sana.
 
Natamani mechi ijayo mngekuwa mnacheza na Chelsea ili tuwafundishe mpira na hayo ma flop yenu.

Nina Wasiwasi Na Uwezo Wako Wa Akili Jaribu Hata Kuangalizia Google Timu Iliyozifunga Mara Nyingi Timu Zote Pale England Ni Manchester United Usihadaike Na Ushindi Wa Ka Mech Kamoja Ukajua Nayo Chelsea Ni Giant Bado Sana Kama Ni Mpira Umefunzwa Sana Tu Kombe Kubwa Barani Ulaya Nimechukulia Kwa Chalsea Mech Ya Mwisho Umepigwa Bila Hata Short On Target Mbele Yupo Rashford Na Lingard Ona Dharau Hizo Nani Kafunzwa Hapo? Mtoto Akianza Kutambaa Na Kukimbia Usipokuwa Makin Unampoteza Mana Anajua Kila Kitu Anafaham Roy Kean Ana Medal Nyingi Za Epl Kushinda Chelsea.
 
Jana Nliingia Kwenye Ukura Wa Facebook Wa Chelsea Kusoma Post Wanazotuma Mashabik Wao Mmoja Anawatuliza Wanzao Kwamba Morata Mzur Kafunga Goli Hawakuwa Na Hazard Wala Pedro Wasitishike Na Goli Mbili Alizofunga Lukaku Kwamba Alicheza Na Watu Wa Kumlisha Mipira Rashford,mkhitaryan Na Pogba Nikajiuliza Si Wanawapondaga Wabovu Hao Imekuwaje Tena Nlichogundua Kumbe Wanawaogopa Na Wanajua Uwezo Wao Wanawaponda Kupunguza Machungu Tu
 
Jana Nliingia Kwenye Ukura Wa Facebook Wa Chelsea Kusoma Post Wanazotuma Mashabik Wao Mmoja Anawatuliza Wanzao Kwamba Morata Mzur Kafunga Goli Hawakuwa Na Hazard Wala Pedro Wasitishike Na Goli Mbili Alizofunga Lukaku Kwamba Alicheza Na Watu Wa Kumlisha Mipira Rashford,mkhitaryan Na Pogba Nikajiuliza Si Wanawapondaga Wabovu Hao Imekuwaje Tena Nlichogundua Kumbe Wanawaogopa Na Wanajua Uwezo Wao Wanawaponda Kupunguza Machungu Tu
Usalama wa taifa jekundu
 
Mpuuzi akiongea upuuzi mpuuze. Niko kupuuza hapa


Huna Cha Kufanya Zaidi Ya Kujipoza Machungu Pale Unapogundua Unaeshindana Nae Humfikii Hata Ukijitahidi Miaka 100 Sasa Kwa Sisi Wakubwa Tukiona Mtoto Anatoa Lugha Za Hovyo Tunajua Dawa Ishakuingia Kisawasawa Msubir Spurs Tena Ukimfunga Poa Akikufunga Uje Huku Kulialia Kama Kawaida.
 
Back
Top Bottom