Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwanini Chelsea ikifungwa mnafurahi sana ..kuliko timu zingine zikifungwa? Why Chelsea?

Mnapenda kujilinganisha mnoo na Chelsea, matic tumewapa, kocha tumewapa, mata tuliwapa.. mnataka nin tena!



Sent using Jamii Forums mobile app
Umewapa weww na nani Chelsea time ndogo ilipewa kipigo cha 7-0 na nothamforest pambana na hali yako wew

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Glory glory glory Manchester united

Martial, matic, Herrera, mikytarian,mata,baily, Valencia

Hawa wachezaji hawatakiw kuanzia benchi

Mourinyo aache misimamo yake ya kuwa na chuki kwa wachezaji hasa kwa mata na martial

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Morata aliingia dakika ya 60+ akafunga goli Moja na assist Moja

Martial aliingia dakika ya 80+ akafunga goli Moja na assist Moja.
Question of the day

Ingekuwaje kama martial angeingia dakika ya 60+?

Morata was tz nchi imekushinda😀
 
Mou kasajili timu ya kuchukua EPL tu ndio kiu tuliyonayo huko kwingine hata fergie alichemka miaka yote

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Glory glory glory Manchester united

Martial, matic, Herrera, mikytarian,mata,baily, Valencia

Hawa wachezaji hawatakiw kuanzia benchi

Mourinyo aache misimamo yake ya kuwa na chuki kwa wachezaji hasa kwa mata na martial

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Kama Mourinho angekuwa hawataki angekuwa ameshawauza,Inter/ROMA walimtaka Martial kwa mkopo Mourinho akagoma juzi Spurs wameleta official bid Mourinho amegoma kumuuza now Martial anatakiwa acheze mpira na ku-mprove wrong Mourinho
 
Back
Top Bottom