D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Umeanza vizur ukamalizia na pumba.. matic n kiungo mzito sana.... kama hujui... yupo slow.. na anachoka haraka especially second half... team ikiwa inashambuliwa matic huwa anapotea.. kama ulimfuatilia vizur Chelsea ngolo kante aliteseka sana pind akicheza na matic.. I stand to be corrected...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana kwa maoni yako na natumai yanatoka kwenye kiwiliwili kilicho hai.unasema ya kwamba kante alipata tabu sana alipocheza na matic lakini umesahau ya kwamba matic alianza mechi 30 za ligi kuu.
Ni kweli matic ni mzito ila naomba unitajie mchezaji mmoja mwenye urefu wa futi 6 kama matic halafu awe anatumia mguu wa kushoto na mwenye mbio kama giggs.
