Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chris Winterburn

@cmwinterburn

Mourinho on Fellaini, "It's easier for Galatasaray to get me than Marouane. He is too important to me. No chance."

10:09 PM - Jul 30, 2017

1111 Replies

159159 Retweets
 
Chris Winterburn

@cmwinterburn

Mourinho on Matic, "I'm waiting for news. I know that he wants the move very very much."

10:11 PM - Jul 30, 2017

Replies

8282 Retweets

4343 likes
 
Mourinho: "It's easier for Galatasaray to get me than Marouane. He is too important to me. No chance."

Mourinho: "I'm waiting for news on Matic. I know that he wants to join United very very much."

Mourinho: "Number 31 is a free number. It was Schweinsteiger. It’s a free jersey, we have a few free & 31 is one of them."

Mourinho: "I'm not going to lose my hair to speak about Antonio Conte."

Mourinho: "It is step by step. Lindelof needs his time & we are going to give him time. I'm happy with him."

Aisee watu waache kumchukia Fellaini.. Huwa anasaidia sana, tatizo akikosea kidogo watu wanapiga kelele. Kama kocha anamkubali then yeye ameona kitu ndani yake.
 
Duuu kwa vyovyote vile hiyo comment ya mwalimu itawagawa watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi kazi yetu kubwa ni kuisupport timu yetu,na kama mashabiki kila mtu atakuwa na mtazamo wake kuhusu wachezaji ila yote hiyo ni kutaka kuona timu ipo katika ubora,so as long mchezaji atakuwa ni wetu sisi tupo nyuma yake,tutaponda,tutasifia,ila mwisho wa siku furaha yetu kama mashabiki ni kuona timu yetu inafanya vizuri,ndo mpira huo. GGMUTD
 
kifupi big fella hauzwi kagoma kama alivyowatimua west ham walipomuulizia ashley young nampongeza huyu kocha hana papara ya fukuza fukuza watajichuja wenyewe pia kwa sasa shaw akae chonjo kuna mdogo kapandishwa sio wa mchezo mchezo
 
Ushindi wa leo nau dedicate kwa mkuu Kamanda na Fans mwenzetu hapa jukwaani.. herrera

Mungu akupe uvumilivu, subra na ujasiri ktk kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mwanao ghafla namna. Mungu akujaze faraja, amani na akuondolee kila sononeko litakalokukumba ktk kipindi hiki.

Sisi Wana Family MUFC tuko nawe ktk kipindi hiki kwa sara na maombi. Ondoa upweke huku ukiutafakati ukuu wa Mungu kwamba sisi sote ni wake na humrudia siku yoyote atuitapo kwa njia yeyote.

Pole sana Comrade.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mourinho attends his press conference

*On Fellaini:*

“It’s easier for Galatasaray to get me than Marouane. If they need a manager, they have a chance, but Marouane? Forget it.”
 
Mourinho: "It's easier for Galatasaray to get me than Marouane. He is too important to me. No chance."

Mourinho: "I'm waiting for news on Matic. I know that he wants to join United very very much."

Mourinho: "Number 31 is a free number. It was Schweinsteiger. It’s a free jersey, we have a few free & 31 is one of them."

Mourinho: "I'm not going to lose my hair to speak about Antonio Conte."

Mourinho: "It is step by step. Lindelof needs his time & we are going to give him time. I'm happy with him."

Aisee watu waache kumchukia Fellaini.. Huwa anasaidia sana, tatizo akikosea kidogo watu wanapiga kelele. Kama kocha anamkubali then yeye ameona kitu ndani yake.
Fellain namfananisha na paka Mweusi,ana bahati Mbaya lakini kwangu ndio mchezaji namba 1 anayefiti katika mifumo yote ya Mou katika eneo la kiungo.

Mou huwa anapata tabu katika kuwapanga akina Mikh,Matta na Pogba lakini sio kwa Fellain but inategemea na aina ya Match.

Mfano Match yenye viungo washambuliaji wengi huwezi muacha Fellain nje.

Kwa kifupi na niwasaidie mashabiki Wenzangu wengi,Fellain ndio kiungo mshambuliaji mwenye uwezo wa kukaba Duniani kwa sasa.

Yaani Fellain ndiye namba 10 Mwenye uwezo wa kushambulia na kukaba kwa wakati mmoja,hapa kama unamkumbuka Rivaldo da Silva,Figo n.k ni Viungo washambuliaji wachache wenye uwezo huu.

Utalazimika kumuacha Fellain kwenye match na Barcelona au Madrid kama utatumia mfumo Wenye kuruhusu Viungo Zaidi ya wanne/watano uwanjani.

Lakini kama ni 4-3-3 huwezi muacha Fellain nje,hili linaweza kuwa jepesi kama tutamsajili Matic.


Kuja kwa Matic kunasababisha hali ngumu ya kupata namba kwa Matta,Lingard na Fellain,inabidi mifumo kubadilika ili kuwatumia Matic,Pogba na Herera kwa wakati mmoja.

Yaani Mbele uwe na Matic (6),Herera (8)Pogba (7),9 (lukaku),10 (Rashford)na 11 (Martial).

Hali itakuwa Mbaya zaidi kwa Matta,Lingard na Fellain kama timu itawasajili Matic na Persic mana italazimu wing moja kuwa active na kupunguza Viungo wa kati.

Newfame 2017.

Analysis yangu kwenye mchezo wa leo,baadaye kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushindi wa leo nau dedicate kwa mkuu Kamanda na Fans mwenzetu hapa jukwaani.. herrera

Mungu akupe uvumilivu, subra na ujasiri ktk kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mwanao ghafla namna. Mungu akujaze faraja, amani na akuondolee kila sononeko litakalokukumba ktk kipindi hiki.

Sisi Wana Family MUFC tuko nawe ktk kipindi hiki kwa sara na maombi. Ondoa upweke huku ukiutafakati ukuu wa Mungu kwamba sisi sote ni wake na humrudia siku yoyote atuitapo kwa njia yeyote.

Pole sana Comrade.

Sent using Jamii Forums mobile app
I second you bro@Pole Herera,naomba Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu kwako na familia kwa kupoteza Mpendwa wenu.

Goli la Lukaku liwe faraja ya furaha katika huzuni ya kuondokewa na mtoto wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fellain namfananisha na paka Mweusi,ana bahati Mbaya lakini kwangu ndio mchezaji namba 1 anayefiti katika mifumo yote ya Mou katika eneo la kiungo.

Mou huwa anapata tabu katika kuwapanga akina Mikh,Matta na Pogba lakini sio kwa Fellain but inategemea na aina ya Match.

Mfano Match yenye viungo washambuliaji wengi huwezi muacha Fellain nje.

Kwa kifupi na niwasaidie mashabiki Wenzangu wengi,Fellain ndio kiungo mshambuliaji mwenye uwezo wa kukaba Duniani kwa sasa.

Yaani Fellain ndiye namba 10 Mwenye uwezo wa kushambulia na kukaba kwa wakati mmoja,hapa kama unamkumbuka Rivaldo da Silva,Figo n.k ni Viungo washambuliaji wachache wenye uwezo huu.

Utalazimika kumuacha Fellain kwenye match na Barcelona au Madrid kama utatumia mfumo Wenye kuruhusu Viungo Zaidi ya wanne/watano uwanjani.

Lakini kama ni 4-3-3 huwezi muacha Fellain nje,hili linaweza kuwa jepesi kama tutamsajili Matic.


Kuja kwa Matic kunasababisha hali ngumu ya kupata namba kwa Matta,Lingard na Fellain,inabidi mifumo kubadilika ili kuwatumia Matic,Pogba na Herera kwa wakati mmoja.

Yaani Mbele uwe na Matic (6),Herera (8)Pogba (7),9 (lukaku),10 (Rashford)na 11 (Martial).

Hali itakuwa Mbaya zaidi kwa Matta,Lingard na Fellain kama timu itawasajili Matic na Persic mana italazimu wing moja kuwa active na kupunguza Viungo wa kati.

Newfame 2017.

Analysis yangu kwenye mchezo wa leo,baadaye kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Well said mkuu. Mimi binafsi sijali nani atakua anaanza au kusugua benchi. Kitu nachotamani ni tuwe na wachezaji wengi wazuri kwa sababu injuries huwa zinatugharimu sana.
Ikitokea mchezaji fulani ni majeruhi let's say mwezi mzima, basi replacement yake iwe ni moto ule ule. Hapo nadhani tutakua na consistency ya ushindi.
 
Kawaida yao, hata ukiwafunga lazima waupige.... Team yetu sio mbaya pia. Nimemuona Pogba nimtakaye Leo.

Hivi Valencia ametumwa? Kosa la pili pre-season anafanya yeye....
Afu valencia wa pre season sio mwenyewe kabisa...au likizo alikuwa anacheza sana mipira ya viwanja vidogo na mke wake
 
Big Fella
 

Attachments

  • IMG_20170731_063606.jpg
    IMG_20170731_063606.jpg
    93.1 KB · Views: 41
Back
Top Bottom