Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mourinho: "I'm not going to lose my hair to speak about Antonio Conte."
hahahahaaaaaaa mourinho ana majibu mabovu mnooooo
kazi kwake antonio conte mzee wa hair transplant
318E41F800000578-0-image-m-197_1456419950441.jpg
 
No Jones,no Bailly vs Real Madrid
 

Attachments

  • IMG-20170731-WA0025.jpg
    IMG-20170731-WA0025.jpg
    25.1 KB · Views: 40
Fellain namfananisha na paka Mweusi,ana bahati Mbaya lakini kwangu ndio mchezaji namba 1 anayefiti katika mifumo yote ya Mou katika eneo la kiungo.

Mou huwa anapata tabu katika kuwapanga akina Mikh,Matta na Pogba lakini sio kwa Fellain but inategemea na aina ya Match.

Mfano Match yenye viungo washambuliaji wengi huwezi muacha Fellain nje.

Kwa kifupi na niwasaidie mashabiki Wenzangu wengi,Fellain ndio kiungo mshambuliaji mwenye uwezo wa kukaba Duniani kwa sasa.

Yaani Fellain ndiye namba 10 Mwenye uwezo wa kushambulia na kukaba kwa wakati mmoja,hapa kama unamkumbuka Rivaldo da Silva,Figo n.k ni Viungo washambuliaji wachache wenye uwezo huu.

Utalazimika kumuacha Fellain kwenye match na Barcelona au Madrid kama utatumia mfumo Wenye kuruhusu Viungo Zaidi ya wanne/watano uwanjani.

Lakini kama ni 4-3-3 huwezi muacha Fellain nje,hili linaweza kuwa jepesi kama tutamsajili Matic.


Kuja kwa Matic kunasababisha hali ngumu ya kupata namba kwa Matta,Lingard na Fellain,inabidi mifumo kubadilika ili kuwatumia Matic,Pogba na Herera kwa wakati mmoja.

Yaani Mbele uwe na Matic (6),Herera (8)Pogba (7),9 (lukaku),10 (Rashford)na 11 (Martial).

Hali itakuwa Mbaya zaidi kwa Matta,Lingard na Fellain kama timu itawasajili Matic na Persic mana italazimu wing moja kuwa active na kupunguza Viungo wa kati.

Newfame 2017.

Analysis yangu kwenye mchezo wa leo,baadaye kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ur not serious bro unamuacha mikhy?hata hujamzungumzia kabisa
 
31/07/2017 16:00, Report by Communications Department
UNITED SIGN NEMANJA MATIC

Manchester United is delighted to announce the signing of Nemanja Matic from Chelsea on a three-year contract, with an option to extend for a further year.

The 28-year-old Serbian international midfielder has won a number of club and individual honours including league titles in both England and Portugal.

Jose Mourinho said: "Nemanja is a Manchester United player and a Jose Mourinho player. He represents everything we want in a footballer; loyalty, consistency, ambition, team player.

"I would like to thank him for his desire to join us because without that, it would be impossible to have him here. I am sure our players and supporters will love him. A big welcome to our new number 31."

Nemanja Matic said: "I am delighted to have joined Manchester United. To work with Jose Mourinho once again was an opportunity I couldn’t turn down.

"I have enjoyed my time at Chelsea and would like to thank the club and the fans for their support. I cannot wait to meet my new team-mates and to start training with them.

"This is a very exciting time for the club and I am looking forward to playing my part in creating more history for this great club."
 
Back
Top Bottom