Afu valencia wa pre season sio mwenyewe kabisa...au likizo alikuwa anacheza sana mipira ya viwanja vidogo na mke wake
Hilo ni pigo pole yake na fans wote wa united na wapenda michezo kwa ujumlaWadau wa man u na timu zingine, ndugu yetu herrera kafiwa na mtoto wake leo jioni, kagongwa na pikipiki, sio mbaya hata tukimkumbuka kwa kumfariji tu, sio lazima pesa hata neno la faraja tumpatie katika kipindi hiki kigumu kwake.
Namba yake ni 0742197840
Hahahahaha kwakweli umewaza nilipowaza mimiHuyu Pogba kaanza mapema kampeni yake ya kupiga miamba msimu uliopita kagongesha mara nane.
Yakweli ayaChris Winterburn
@cmwinterburn
Mourinho on Fellaini, "It's easier for Galatasaray to get me than Marouane. He is too important to me. No chance."
10:09 PM - Jul 30, 2017
1111 Replies
159159 Retweets



maneno yake mwenyewe kwenye press conference.Hahahaa nani uyoo mkuukifupi big fella hauzwi kagoma kama alivyowatimua west ham walipomuulizia ashley young nampongeza huyu kocha hana papara ya fukuza fukuza watajichuja wenyewe pia kwa sasa shaw akae chonjo kuna mdogo kapandishwa sio wa mchezo mchezo
Mkuu Herrera kafanyaje? Ni Herrera yupi?Pole sana mkuu herrera Mungu akutie nguvu kaka
Inabidi ajikite penye idara hiyo kuhakikisha anapunguza kukosaHahahahaha kwakweli umewaza nilipowaza mimi
Herrera wa humu JF kafiwa na mwanae, amegongwa na pikipiki
Daah so sad ..pole sana kwa Herrera! Habari hizi zimfikie Le boss Mourinho. ..R.I.P Herrera JrHerrera wa humu JF kafiwa na mwanae, amegongwa na pikipiki