Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wadau wa man u na timu zingine, ndugu yetu herrera kafiwa na mtoto wake leo jioni, kagongwa na pikipiki, sio mbaya hata tukimkumbuka kwa kumfariji tu, sio lazima pesa hata neno la faraja tumpatie katika kipindi hiki kigumu kwake.

Namba yake ni 0742197840
Pole sana mwanachama mwenzetu Herrera! ,tupo pamoja katika shida,raha na matatizo hatujakutupa mkono na hatutakutupa mkono kamwe.


Amini tupo nawe katika kipindi hiki kigumu tukikuombea upate nguvu.

Alale mahali pema mdogo wetu(R.IP).
 
28d45744b35a7226ea126faae4bf34a4.jpg
 
Kiukweli mi naona timu yetu bado ina safari hasa nikiangalia wachezaji wetu tulionao na hao tunaowawania,na nikipima na vikosi vya wenzetu kama Man City, Bayern,Real, Barca, PSG n.k naona bado tuna average squad coz Martial hakuwa na consistency, mkhitaryan nae bado alikuwa haja settle vema, Lingard huwa haeleweki, beki 3 hadi sasa haijakaa poa, beki 2 ni Valencia tu anayeweza cheza kama full backs wanavyopaswa yani kupanda na kushuka, beki wa kati Jones na smalling hawakuwa na msimu mzuri + Lindelolf haja impress kabisa pre season. Nadhani Lukaku ni usajili mzuri, tukimpata na Perisic itakaa poa sana pia. Nadhani tungempata na Sergei Aurie pamoja na matatizo yake ingesaidia,au hata fabinho. Vingnevyo naona kabisa tutaendelea kucheza kwa kuvizia vizia,na tutapocheza na timu kubwa zingne tutaendelea kuonekana inferior.

Sent using Jamii Forums mobile app
Atleast tungempata neymar.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom