Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Lukaku ni mzito? Uyu jamaa ana speed na nguvu sana. Ana piga miguu yote na yuko vizuri mipira ya juu.
Duuh ndio kashabeba hivyo!! Pesa pesa pesa!!!
Nakwambia haongei mara mbiliDuuh ndio kashabeba hivyo!! Pesa pesa pesa!!!
Ndio maana nakomaa kutafuta pesa mkuu...haya mambo mengine ukitaka kuumia moyo na akili vamia ukiwa empty mfukoni uone



Kwakweli perisic ni mashine moja hatariUsajili haujakamilika. Ivan Perisic next week usajili wake utakamilka