Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aisee hata mimi nashangaa sana mtu anaposema Morata anaweza kuamua matokeo. Yaani kama vile ndo sifa yake kubwa inayomtofautisha na Lukaku. Hilo si kweli hata kidogo.
Morata anazo qualities zake nzuri tu lakini sio kusema anaweza kubadilisha matokeo.
Kweli mkuu naona watu wana moto wawapi cjui wanashindwa Ku reason vzur... Awaoni lukaku moto wake pamoja nakwamba alikuwa timu ndogo kama Everton lkn aliweza hadi kuwa second top scorer wa premier imagine akiwa chini ya kina pogba kina miki kina mata na kina herera

Sent from my G7-L01 using JamiiForums mobile app
 
After Wayne Rooney's exit, Juan Mata is now the current squad top scorer for Manchester United with 36 goals.

Sent from my HTC One E9PLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 
Angekuwa anao huo uwezo basi nafikiri Real Madrid asingekuwa anaanzia bench nyuma ya Benzema ambaye kwa upande wangu naona Lukaku ni bora kuliko Benzema.

Sikatai, ni mchezaji mzuri, ila inaweza kuwa gamble maana hatuna uhakika kama ataweza kushine EPL. Si unakumbuka wakati tunamchukua Martial toka France jinsi tulivyokuwa na mahope kuhusu yeye, nini kimetokea? Anastruggle mwenyewe.

Tumpe chance Lukaku tuone nini ataifanyia club.

Halafu Morata ajawai kuwa mchezaji wa kujitegemeq,Juve alikua anacheza kama back up na Madrid hivyo hivyo. Ajawai kucheza mechi 15 mfululizo kwa kukaliza dakika 90.
 
Kwa wale wanaopenda Rap..

Aliyekuwa winga wa zamani wa Man U Memphis Depay ametoa wimbo wa kurap..

Kiufupi jamaa anajaribu kuonyesha kuwa sio mpira ila ana kipaji zaidi...

Tayari una 508k viewers..




sent from my Tecno kimeo using jamiiforum mobile app

Aimbe kwa umombo kipaji anacho
 
1499628191611.jpg
 
Back
Top Bottom