Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kumbe miaka yote 13 amekuwa akilala na pajamas za Everton duh kweli ONCE A BLUE ALWAYS A BLUE!

Screenshot_2017-07-09-18-05-45.png
 
Bado naiona nafasi ya Morrata,na nitakuwa wa mwisho kuamini kama hatutomsajili Morrata.

Lukaku sio mchezaji wa kuamua Ushindi wa timu,ila ni mfungaji mzuri,timu inapozidiwa huwa hana msaada,yeye anahitaji sana Usaidizi wa timu katika ushindi,

Morrata ni mtu wa mwisho,anaweza kufanya maamuzi ya Ushindi wa timu pale tunapozidiwa,ana uwezo binafsi katika kufanya maamuzi.

Sababu ya pili,Tupo UEFA champion na Mou anataka kurudisha makali yake,Lukaku ametuthibitishia uwezo wake wa kufunga katika katika EPL lakini bado katika UEFA,tuna match nyingi so kuna haja ya kuwa na mshambuliaji mwingine wa kumsaidia,kumbuka tuna michezo Zaidi ya 50 per season kwa mashindano yote.

##Lukaku09
Acha zako kijana ni game ngapi ulizo muona morata akiamua matokeo???? Msiongee2 kisa anatoka Madrid ,,, uyo mnae muamini atakuja Fanya ujinga ad usiamini... Acha apambane na ligi nyepesi morata PL aiwez yule bado sana AF ujiulizi y anapigwa bench kila wakati?

Sent from my G7-L01 using JamiiForums mobile app
 
Bado naiona nafasi ya Morrata,na nitakuwa wa mwisho kuamini kama hatutomsajili Morrata.

Lukaku sio mchezaji wa kuamua Ushindi wa timu,ila ni mfungaji mzuri,timu inapozidiwa huwa hana msaada,yeye anahitaji sana Usaidizi wa timu katika ushindi,

Morrata ni mtu wa mwisho,anaweza kufanya maamuzi ya Ushindi wa timu pale tunapozidiwa,ana uwezo binafsi katika kufanya maamuzi.

Sababu ya pili,Tupo UEFA champion na Mou anataka kurudisha makali yake,Lukaku ametuthibitishia uwezo wake wa kufunga katika katika EPL lakini bado katika UEFA,tuna match nyingi so kuna haja ya kuwa na mshambuliaji mwingine wa kumsaidia,kumbuka tuna michezo Zaidi ya 50 per season kwa mashindano yote.

##Lukaku09

Angekuwa anao huo uwezo basi nafikiri Real Madrid asingekuwa anaanzia bench nyuma ya Benzema ambaye kwa upande wangu naona Lukaku ni bora kuliko Benzema.

Sikatai, ni mchezaji mzuri, ila inaweza kuwa gamble maana hatuna uhakika kama ataweza kushine EPL. Si unakumbuka wakati tunamchukua Martial toka France jinsi tulivyokuwa na mahope kuhusu yeye, nini kimetokea? Anastruggle mwenyewe.

Tumpe chance Lukaku tuone nini ataifanyia club.
 
Acha zako kijana ni game ngapi ulizo muona morata akiamua matokeo???? Msiongee2 kisa anatoka Madrid ,,, uyo mnae muamini atakuja Fanya ujinga ad usiamini... Acha apambane na ligi nyepesi morata PL aiwez yule bado sana AF ujiulizi y anapigwa bench kila wakati?

Sent from my G7-L01 using JamiiForums mobile app
Aisee hata mimi nashangaa sana mtu anaposema Morata anaweza kuamua matokeo. Yaani kama vile ndo sifa yake kubwa inayomtofautisha na Lukaku. Hilo si kweli hata kidogo.
Morata anazo qualities zake nzuri tu lakini sio kusema anaweza kubadilisha matokeo.
 
Back
Top Bottom