Kumbe mpaka mwezi may 2013 SAF alikuepo? Kama ni hivo unavosema kwamba kama angekuepo SAF angemuuza tokea 2013, si angemuuza january ya mwaka huo 2013 kwenye dirisha la usajili?SAF aliondoka baada ya msimu wa 2012-2013,msimu wa 2010-2011 Rooney alipeleka transfer request auzwe SAF akagoma alikuwa hajapata mrithi wake msimu wa 2012-2013 SAF alimsajili RVP na akawa ndio striker no 9 Rooney akaanza kupigwa benchi na kuchezeshwa kiungo baada ya SAF kustaafu kabla ya kuanza msimu 2013-2014 Mourinho alivyorudi Chelsea alimtaka Rooney na alipeleka ofa Moyes akakataa na akamuongezea Rooney mkataba wa miaka 5 na akamrudisha Rooney kama striker no 9 na kumpiga benchi RVP
Something which is impossible to be possible..Labda Lukaku kama atafunga wastani wa 26 goals per season in ten years ambapo atakuwa 35 years?
Valencia or Carrick..Kama rooney ameondoka captain atakua nani?? Smalling?? Carrick?? Valencia?? Au herrera??
Ni kweli kasema yeyekisu cha ngariba hayo maneno yote anasema lukaku?
Kwaheri captain Rooney.
Hivi lingard anaweza kuja fikia kiwango alichonacho wazza Leo?
Mbona Bolingoli hayupo?US Tour![]()
Sportspesa inasambaa kama mutu wa petrol..Kwaheri captain Rooney.
Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
Tutegemee kumuona Rooney ndani ya uwanja wa taifa mwezi huuSportspesa inasambaa kama mutu wa petrol..
Naona wako na Everton sasa
Rooney alianza kupigwa benchi msimu wa 2012-2013 alivyosajiliwa RVP,alivyokuwa Arsenal RVP alikuwa spana mkononi hatukutegemea kama angemaliza msimu bila kuumia but alicheza msimu mzima na ndio alikuwa na mchango mkubwa sana kwenye ub ingwa wa 20 alikuwa top scorer na alifunga magoli muhimu hakutegemea kama SAF angestaafu baada ya ule msimuKumbe mpaka mwezi may 2013 SAF alikuepo? Kama ni hivo unavosema kwamba kama angekuepo SAF angemuuza tokea 2013, si angemuuza january ya mwaka huo 2013 kwenye dirisha la usajili?
Jesse yupi mkuu? Lingard?Kuna rumours za James 10 kuja MUFC lakini to my opinion sidhani kama tunataka mchezaji wa staili yake...
Kina Jesse na Mata wanatosha kuwa Attacking midfielder for the time being..
Yes mkuu..Jesse yupi mkuu? Lingard?
DaaaYes mkuu..
Na hayo mambo ya kuparty party huyo lukaku ayapunguze.
MU is decent club, asipokuwa makini atakatwa.
wachezaji wote wanajirushaMbona last season walikuwepo Hull CitySportspesa inasambaa kama mutu wa petrol..
Naona wako na Everton sasa