Herera bila shaka. Captain anatakiwa kuwa na regular appearenceKama rooney ameondoka captain atakua nani?? Smalling?? Carrick?? Valencia?? Au herrera??
Herera bila shaka. Captain anatakiwa kuwa na regular appearenceKama rooney ameondoka captain atakua nani?? Smalling?? Carrick?? Valencia?? Au herrera??
kisu cha ngariba hayo maneno yote anasema lukaku?
Wengi tunampa herrera lakini tusisahau pia valencia ni mkongwe pale OT na yeye ana regular appearance kama herrera!! Na kuna mdau hapo juu aliongelea maswala ya utaifa!!Herera bila shaka. Captain anatakiwa kuwa na regular appearence
Subili uone kazilukaku daaah njoo upige kazi ingawa sijaufurahia usajili wako
Lukaku: "I joined Manchester United because they are the biggest club in the world & are hungry to win the league again." [HASHTAG]#MUFC[/HASHTAG]
ImpossibleLabda Lukaku kama atafunga wastani wa 26 goals per season in ten years ambapo atakuwa 35 years?
Hapana palikuwa na watu wengine sio wingereza na waliweza kuwa makepteni mfano wa karibu Nemanja vidic achilia mbali eric (king )cantona na hata huko nyuma hao kina Roy Keane na akina Martin buchan hawakuwa GB labda kama ulijumlisha UK maana Keane Ireland na buchan alikuwa Scotland. Ni maamuzi ya mwalimu na jopo lakeCarric,Valencia na Herera mmojawapo anaweza kuwa Captain,Valencia na Carric,Valencia nadhani anaandaliwa kuja kuwa Captain wetu msimu ujao baada ya kustaafu kwa Carric.
Herea angeweza kuwa Captain lakini naona kuna sababu za Utaifa.
Huyo mchezaji sijui kwann hauzwi. Hastahili kuwa pale...Hivi lingard anaweza kuja fikia kiwango alichonacho wazza Leo?
SAF aliondoka baada ya msimu wa 2012-2013,msimu wa 2010-2011 Rooney alipeleka transfer request auzwe SAF akagoma alikuwa hajapata mrithi wake msimu wa 2012-2013 SAF alimsajili RVP na akawa ndio striker no 9 Rooney akaanza kupigwa benchi na kuchezeshwa kiungo baada ya SAF kustaafu kabla ya kuanza msimu 2013-2014 Mourinho alivyorudi Chelsea alimtaka Rooney na alipeleka ofa Moyes akakataa na akamuongezea Rooney mkataba wa miaka 5 na akamrudisha Rooney kama striker no 9 na kumpiga benchi RVPKwani Ferguson kaondoka mwaka gani?
Hanunuliki ,eti chacharito alitolewa kwa mkopo lingard akabaki.Huyo mchezaji sijui kwann hauzwi. Hastahili kuwa pale...
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Legend is going home[HASHTAG]#FarewellToALegend[/HASHTAG]![]()
@WayneRooney is leaving [HASHTAG]#MUFC[/HASHTAG] to return to Everton: manutd.co/vU
Thank you, Wayne, from all of us.
Wapi lukaku..??US Tour![]()
Wapi lukaku..??![]()
Sent from my SM-A510F using JamiiForums mobile app