Jamani hili dili la Lukaku linaendaje maana siwaelewi elewi hawa Everton.
Binafsi ningependa mkongwe huyu kwa heshma yake angebaki mpaka yeye mwenyewe akasema jamani panatosha hapa miguu haina kasi tena wacha nikatafute pa kupumzikia yaani naona kama tumemtosa flan hivi ila ndio hivyo mambo yanabadilika. Wazza kafanya mengi penye club hii kachukua karibu vikombe vyote alivyo pigania kwa heri rooney kwa heri captain kwa heri wazza siku zote ulipenda kuona timu inashinda ulipigana kiukweli hata usoni uchungu wako ulionekana kila la kheri wazza.
Mkuu hata mimi hayo ndo mawazo yangu, naumia kweli captain kuondoka, lakini dah ndo ivo hakuna jinsi, jamaa kaipigania sana timuBinafsi ningependa mkongwe huyu kwa heshma yake angebaki mpaka yeye mwenyewe akasema jamani panatosha hapa miguu haina kasi tena wacha nikatafute pa kupumzikia yaani naona kama tumemtosa flan hivi ila ndio hivyo mambo yanabadilika. Wazza kafanya mengi penye club hii kachukua karibu vikombe vyote alivyo pigania kwa heri rooney kwa heri captain kwa heri wazza siku zote ulipenda kuona timu inashinda ulipigana kiukweli hata usoni uchungu wako ulionekana kila la kheri wazza.
Mwache akaimarishe home club EvertonBinafsi ningependa mkongwe huyu kwa heshma yake angebaki mpaka yeye mwenyewe akasema jamani panatosha hapa miguu haina kasi tena wacha nikatafute pa kupumzikia yaani naona kama tumemtosa flan hivi ila ndio hivyo mambo yanabadilika. Wazza kafanya mengi penye club hii kachukua karibu vikombe vyote alivyo pigania kwa heri rooney kwa heri captain kwa heri wazza siku zote ulipenda kuona timu inashinda ulipigana kiukweli hata usoni uchungu wako ulionekana kila la kheri wazza.
Mpira wa Siku hizi ni biashara tuBinafsi ningependa mkongwe huyu kwa heshma yake angebaki mpaka yeye mwenyewe akasema jamani panatosha hapa miguu haina kasi tena wacha nikatafute pa kupumzikia yaani naona kama tumemtosa flan hivi ila ndio hivyo mambo yanabadilika. Wazza kafanya mengi penye club hii kachukua karibu vikombe vyote alivyo pigania kwa heri rooney kwa heri captain kwa heri wazza siku zote ulipenda kuona timu inashinda ulipigana kiukweli hata usoni uchungu wako ulionekana kila la kheri wazza.
Jamani hili dili la Lukaku linaendaje maana siwaelewi elewi hawa Everton.
Kama Ferguson angekuwepo angemuuza Rooney tangu 2013,Still Wazza ataendelea kuwa United legend sioni mtu wa kuvunja rekodi yake ya kufunga magoli miaka ya karibuniI am shocked that He is even being paid to leave, seems he has been bundled in Lukaku's procurement package.
Sad
Labda Lukaku kama atafunga wastani wa 26 goals per season in ten years ambapo atakuwa 35 years?Kama Ferguson angekuwepo angemuuza Rooney tangu 2013,Still Wazza ataendelea kuwa United legend sioni mtu wa kuvunja rekodi yake ya kufunga magoli miaka ya karibuni