Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwani EPL ubingwa unaletwa na kuzifunga timu kubwa?Nauliza tu kiroho safi.
 
4d58beb729178857e979c9a7595c8d16.jpg
 
Everton hashuki daraja
Ana kawaida ya kuiba"wasiojulikana" na wakatamba
Everton ya uingereza sawa na mtibwa bongo wao wanachukua wanatengeneza wanauza daraja hawashuki kizembe
 
Everton ya uingereza sawa na mtibwa bongo wao wanachukua wanatengeneza wanauza daraja hawashuki kizembe

Huko mbali sana mkuu, Everton ni kama Arsenal tu, hawashuki daraja wala hawashindi kikombe, wapo tu kuburudisha na kutoa upinzani kwa vipindi vipindi kama ugonjwa wa malare.
 
Back
Top Bottom