Romelu Lukaku, a devastating finisher Manutd lacked last year to win EPL championship
nimeona hapo anafunga goal zidi ya Man City mechi zote mbili na goal zidi ya Spurs au hizo sio team kubwa nauli?
Romelu Lukaku, a devastating finisher Manutd lacked last year to win EPL championship
Kabisa mkuu kma Bournemouth aliipigq hattrick kabisaKuzifunga timu ndogo zaidi ya 10+ tulizotoa nazo sare musimu uliopita ndiyo dawa ya kubeba ndoo ya EPL
Walitaka wafanye ya kina Pedro ngoja msimu uanzeWanaugulia maumivu...

Hata mimi ninawashangaa wanaomtupia magongo ati hafungi timu kubwa!!!nimeona hapo anafunga goal zidi ya Man City mechi zote mbili na goal zidi ya Spurs au hizo sio team kubwa nauli?
Yaani musimu si uanze tukate mzizi wa fitina?Kabisa mkuu kma Bournemouth aliipigq hattrick kabisa
Walituazima Rooney sasa tunawarudishia... Wametupa tena Lukaku... Duuuuuuuh... Mungu wabariki Everton wasishuke daraja...Na wasijali Baada ya miaka 8 tunawarudishia tena... GGMU![]()
Watu wanamihemko yao bwanaNdo hapo ubishi unakatikia. Jamaa kakimbilia Lukaku kumbe hata hahusiki
Kwani wewe unamrejelea nani?Nani kasema amesha undergo medical chek up
Mjibu swali lake yeye hajataja mtu !! Rejea“amesha" yeye kauliza mtu Kama umefanya medical check up anaweza badili maamuzi mengine
Everton hashuki darajaWalituazima Rooney sasa tunawarudishia... Wametupa tena Lukaku... Duuuuuuuh... Mungu wabariki Everton wasishuke daraja...Na wasijali Baada ya miaka 8 tunawarudishia tena... GGMU![]()
Everton ya uingereza sawa na mtibwa bongo wao wanachukua wanatengeneza wanauza daraja hawashuki kizembeEverton hashuki daraja
Ana kawaida ya kuiba"wasiojulikana" na wakatamba
Ndo hivyoEverton ya uingereza sawa na mtibwa bongo wao wanachukua wanatengeneza wanauza daraja hawashuki kizembe
Everton ya uingereza sawa na mtibwa bongo wao wanachukua wanatengeneza wanauza daraja hawashuki kizembe