Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Umenikumbusha Gabriel heinze kile kichwa kilikuwa khabari nyingineMpira wa rojo ni kama wa Ramos .....inabidi aanze kuaminiwa bana ... Watoto wa kilatin huwa na roho mbaya mfano Costa tevez .
Ila age ya Lukaku kila wakati inanipa shida
Japo sijawahi changia humu jukwaani ila kwa hili naomba nichangie kidogo kwa ufahamu wangu.Jana nilimsikia shabiki mwenzetu wa Manchester united anasema dau la kumsajaili Lukaku ni kubwa Sana na yeye anaumia sana kuwa Lukaku hana hiyo thamani,
Nilicheka sana how come unaumia kwa hela usiyoitoa wewe... Ushabiki wetu wa simba na yanga wa kutaka tuwe involved kwa kila kitu kwenye team uwe na mipaka jamani ... Sisi tujiandae na Kupiga kelele kwenye vibanda umiza financial issues za team hazituhusu
GGMU
Siku zote mfumo wa Mourinho ni kutumia striker mmoja (Drogba,Milito,Benzema,Costa,Zlatan) na soka limebadilika hakuna timu zinazochezesha striker 2 kama zamani.Sababu kubwa ya Morata kutaka kuondoka Madrid ni kutaka kupata nafasi kucheza kikosi cha kwanza sio kukaa kugombea namba.Kama Real Madrid wasingesumbua kwenye negotiation Morata angesajiliwa badala ya LukakuMkuu angalia Tarehe hapo chini ni 06 July si ni leo au mbona unabisha...???
Lukaku EPL musimu uliopita goli 25+ sijui hawaoni hata hili
Lukaku sio mzuri kwenye mechi kubwa lakini usimlinganishe na Rashford. Unamkosea heshima Lukaku.
PoleniRomelu Rukaku is a decent player but he will need to work harder when he get to Manchester United to be like Tevez, Ibrahimovic or Rooney when he was younger. He will need to improve his link up play, back to the goal work and his first touch to become legend at Man Utd. On other hand is strong, pace and great finisher, therefore if he work on his game he might become one of the best in the world and United Legend. Time will tell.

Danny Welbeck on TwitterHuyu dogo aache kuwadharau wachezaji wenzake. Najua anatamani kurudi, atulie tu nafasi bado IPO mbeleni huko.Manchester United will have to spend another £75M on safety glasses to protect their fans from Lukaku's first touch thenDanny Welbeck on Twitter
Hivyo hivyo tunamtaka,azifunge hizo timu ndogo maana ndo nyingi,hizi big four atafunga hata pogba,micky,rojo na wengineo.Ni kweli lakini angalia ni kwenye mechi zipi kapata magoli mengi...yeye sio day to day scorer...akiwakuta vibonde anawanywa goli za kutosha...mechi za maana haonekani kabisa
Mind you still tuna UCL ambako ni league ya wakali tu wa ulaya