Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
PSG hawana ubavu wa kushindana na Manutd kwenye usajili wa Perisic.
Kwa hiyo, hoja ya kuwa dau ltapanda siyo la kweli
Kwa hiyo, hoja ya kuwa dau ltapanda siyo la kweli
Ugumu ni soko la usajili. Unapoenda kuomba kumsajili mchezaji kwenye timu yoyote ile huendi Kinyongekinyonge bali unaenda kwa kujiamini ya kuwa hata ukimkosa unayo mibadala lukuki ili kupunguza dau.Naomba kuuliza hivi target yetu ni ipi hasa? Maana naona wachezaji wengi sana wanatajwa kila siku kwamba tunawataka. Ukiwahesabu unaweza kuunda kikosi kingine kipya. Je ni kweli tunawataka wote hao au tunapelekeshwa na gossips za media?
Nafahamu kwamba wote hatujajua Mourinho alimpa list gani bwana Woodward, lakini naamini kuna wadau ambao wapo vizuri wanaweza kunisaidia ni wachezaji gani hasa wanatakiwa Manchester United. Ikiwezekana na ambao wanatakiwa kuondoka excluding Zlatan
mkuu lindelof tayari.....ed kashashughulikaucjali kijana victor lindelof na morata hawa hawariki..
kama fala huyu woodward kwa macho ila iyo kichwa ina akili balaakuwa mvumilivu tu muda si mrefu utafurahi, ed woodward mbona yupo vizuri kwenye soko la usajili au umesahau kama kwenye utawala wake amesajili wachezaji wengi tu kama van persie, di maria,bailly,mata,herrera,pogba.
![]()
gaitan na garay toka enzi ya babuFinally Manchester United wamesajili mchezaji toka Benfica baada ya drama za kina Nicolas Gaitan,Ezekiel Garay na Renato Sanches