Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Soma alama za wakati. Mourhnio anatafuta kasi na umaliziaji wa uhakika labda atakuwa reserve.Fellaini tegemeo kikosi kijacho sahau kuuzwa AF jamaa anapiga sana mzgo
Huu usajili kama ukikamilika atakavyo Mourhnio ujue namba ni ya kubahatisha