salito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,406
- 734
Aende akamalizie umri salama.
Aende akamalizie umri salama.
Griezmann was top target for Manchester United this summer baada ya ile deal kufa lazima Woodward & Mourinho wakae wajadiliane kuhusu alternative hawawezi kukurupuka then timu nyingi huwa haziuzi wachezaji wao mpaka wapate replacement ya wachezaji watakaowauzaNi kweli kiongozi unachosema,lakini sidhani kama ni sawa kuridhika na mzubao sababu majirani nao wamezubaa..ukizingatia mipango ya majirani haijulikani, ni muhimu sana kusajili mapema ili kocha apate nafasi ya kusoma na kupanga kikosi vema.
kuwa mvumilivu tu muda si mrefu utafurahi, ed woodward mbona yupo vizuri kwenye soko la usajili au umesahau kama kwenye utawala wake amesajili wachezaji wengi tu kama van persie, di maria,bailly,mata,herrera,pogba.Napata mashaka na uwezo wa msajili wetu sana...maana toka Mou kaanza kumpa list,anashangaa tu sioni alichofanya.
Mpaka usajili wapya huwezi kusafisha safu ili usipofanikiwa kusaili basi udemedeme na ulionao.Na hawa wanaopaswa kuondoka vipi mbona kimya?Smalling,carick,Jones,Rooney,Young,Mkubwa Fella...Hawa wote ni mizigo mizito pale trafford.
Duh! captain wazza nitamkosa ndio hivyo tena umri kitu cha kwishaMpaka usajili wapya huwezi kusafisha safu ili usipofanikiwa kusaili basi udemedeme na ulionao.
Carrick kuongezewa mwaka mmoja, Rooney huenda akamalizia mkataba wake, Young, Fellaini huenda wakaishia