Mimi team mourinho.tumehama wote toka chelsea mpaka man u.
Kwani ngao ya hisani sio title? Tuna title tatuRaha Sana.
Pamoja ya kwamba tumekuwa wa 6 kwenye msimamo wa ligi ila tumetoka na titles 2 msimu huu.
Bado kupungua bei ya usajili wa mastaa kwa kuona Uefa champions ligi Manutd watacheza.
Kwa kuingia ECL man utd wameokoa £21m ambazo wangekatwa na adidas iwapo wangeshindwa kuingia ECL kwa mara ya pili mfululizo.