Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
Either wote au mmoja wao anaweza asiwe next season!!
bora umempa limao atulie hasira na chuki za kipuuzi!Kama ni chungu sana unaweza ukatumia na chumvi kidogo.![]()
Ndio maana ya kuwa kocha mwenye akili!! nilishangaa alipopanga machalii kwenye gemu ya aseno kumbe jamaa alikua na mwazo yake bana hehehehe!That awkward moment when you realize Liverpool and Arsenal finished above Man Utd, but Man utd will play UCL, Arsenal will not.
Liverpool have to qualify via play off
Haaa haaa haaa na mchezaji muhimu sana kwa Mourihno hasa pale mbele pamoja na kusajili washambuliaji wa uhakika bado Fellain ana uhakika wa namba,atakuja kuathiriwa endapo Mou atakapokuwa na kikosi kipana hasa kama atasajili mawinga wawili au watatu ambapo itamlazimu kuwa na Herera na Pogba kama Viungo namba sita na nane,then namba kumi na tisa zikachezwa na washambuliaji waliokamilika.Achilia mbali mapungufu yake fellain anatuokoaga mahali ambapo hatutarajii!!! Leo alikua station ya kutulia mipira ya juu!!
![]()
Afu nashangaa leo kwanini hakupewa u captain wakati alikua uwanjani??smalling auzwe jaman