Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Mata na Mhiki nitashangaa sana wakimaliza kipindi cha pili
Leo anazingua Kwa kweliRashford anaporwa mipira miguuni mara nyingi sijui leo vipi
Nilikuwa safarini lakini nimelazimika kushuka njiani kuangalia hii game,hope tunachukua hii ndoo,sitojutia gharama za nauli na accomodarion za leoniko mbali mkuu, updates zihusike tafadhari....
Nilikuwa na shida ya kujua huzi record ni vema sasa tukapata na game zenyeweJose Mourhnio rekodi yake ya fainali inatisha.
Kashinda 12 kati ya 15! Leo ni fainali ya 16 na atashinda kuiboresha zaidi.
Ajax ndo wanabana uwanja.Ukiuangalia hii lineup utaona Mhiki na Mata ni mawinga lakini hawatoi kross au kupanua uwanja.
Mhiki yuko sehemu yake lakini anapoteza mipira.
Mata hayuko eneo lake na kutopanua uwanja.
Kuwafunga Ajax lazima kupanua uwanja lakini Mata kahamia central midfield
Kaka tunaua wingi zote ndio mana mbele tunamshambuliaji mmoja tu so tunaweka viungo wengi pale mbele ya goli kipindi cha kwanza kuwini goal la mapema na tumefanikiwa sana,kutokana na kurokuwepo kwa Baily tunalazimika kumchezesha Herera nyuma ya viungo kusaidia mabeki,kipindi cha pili ama baada ya kupata goli lingine kama tutapata mapema basi inabidi kumuingiza Carric kwa ajili ya Holding ya mipira na lingard kwa ajili ya kuimarisha ukabaji,kufunga kufuli kabisa,lakini tukizidiwa inabidi kujilipuwa na Rooney.Ukiuangalia hii lineup utaona Mhiki na Mata ni mawinga lakini hawatoi kross au kupanua uwanja.
Mhiki yuko sehemu yake lakini anapoteza mipira.
Mata hayuko eneo lake na kutopanua uwanja.
Kuwafunga Ajax lazima kupanua uwanja lakini Mata kahamia central midfield