Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
Ulisema Zlatan ni mbovu kuliko Rooney awekwe benchi achezeshwe Rooney ndio tutashinda,Rooney anacheza siku hiziTuliwaambia mapema hapa kwamba hatuna timu ya kuingia top 4, mukatushambulia sijui una mentality ya arsenal, sijui umekata tamaa mapema, sasa munalialia nini? Tulieni nafasi yetu ni ya 6, msimu ujao tena