Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tuliwaambia mapema hapa kwamba hatuna timu ya kuingia top 4, mukatushambulia sijui una mentality ya arsenal, sijui umekata tamaa mapema, sasa munalialia nini? Tulieni nafasi yetu ni ya 6, msimu ujao tena
Ulisema Zlatan ni mbovu kuliko Rooney awekwe benchi achezeshwe Rooney ndio tutashinda,Rooney anacheza siku hizi
 
Hakuna mapana yasiyo na ncha Manutd kushinda ubingwa EPL wengi itabidi waishie kuanzia Rooney, Carrick, Ashley Young, Jones, Smalling hata Martial na wale left back hati hati, Sijui Damian na mwenzie kiwango hakiridhishi

Angalia hela wanayolipwa kwa wiki na kiwango hakuna uhusiano

It is time to clean up the excess baggage!
Sijakataa mkuu. Ila kumlaumu carrick ni kumuonea.
 
Screenshot_2017-05-16-08-11-53.png
 
Back
Top Bottom