Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Big point for liver to considerJust a quick reminder, if we win europa league José will have more trophies in one season than Liverpool have in the last 10
Nafasi ya sita au ya tano zote sawa tu!Hodi humu. Habari wakuuu. Nimelete rambi rambi....! Naamini jana mmesaidia spurs kutwaa ubingwa kama mlivyoaidi. Siku ile Dele Alli anatugonga 2. Ikawa habari ya dunia. Nyinyi jana mmegongwa na kushindiliwa nafasi ya 6. Siyo habari ya dunia......!!!! Poleni kwa maumivu makali hususana Iceman 3D. Bavaria, Belo,makatheboy, rutashubanyuma na wengine wengi
Rutashobanyuma mbona Leo unaongea kwa unyonge sana. Ucijali tarehe 24 nitakuwa upande wako nikusapoti uropa lije uingereza kwa Mara ya pili kama sijakoseaNafasi ya sita au ya tano zote sawa tu!
Punguza pumba,Carrick kacheza UNITED misimu 11 na ameshinda ubingwa mara 5 kwa uchezaji huo unaouponda.Unafahamu kazi ya holding/defensive midfielder?Kwa mitazamo hii, ubingwa wa EPL tutaisikia kwenye bomba. No ambition no EPL gold medals
Kwa hiyo Makellele alikuwa anafunga magoli na kutoa assist ? Tangu atue England Kante amecheza mechi 70 kafunga magoli 2 na ameshinda ubingwa wa EPL mara 2Hana mchango wa maana nitamshangaa sana Mourhnio akimwongezea mkataba na kulipa £150k per week labda akubali kufyekwa hadi £60k per week.
Manutd wanahitaji Makelele type au Kante lazima apimwe kwa tackles, assists, goals scored na kwenye hizo takwimu hana bao!
Huyo jamaa sijui Carrick kamkosea niniKwa hiyo Makellele alikuwa anafunga magoli na kutoa assist ? Tangu atue England Kante amecheza mechi 70 kafunga magoli 2 na ameshinda ubingwa wa EPL mara 2
Punguza pumba,Carrick kacheza UNITED misimu 11 na ameshinda ubingwa mara 5 kwa uchezaji huo unaouponda.Unafahamu kazi ya holding/defensive midfielder?
Sio kwamba hatukuwahi kuchukua ni kwamba zilikuwa sio level zetu daima tulikuwa tunalisikia tu.... Ila kwakuwa imebidi basi hatuna budi kulibeba....Msimu wetu wa EPL uliisha siku tuliyotoka sare na Swansea. Kuanzia siku ile mechi zilibaki mbili vs Celta na vs Ajax.
Mechi nyingine zote ni warm ups kwa ajili ya mechi hio. Tukishinda hio mechi tunapata kombe ambalo hatukuwahi kupata na nafasi ya kucheza ECL.....its a NO BRAINER!
"Usidanganyike,nafasi ya 6 ni nafasi yetu ya kudumu" Manchester United 2017
cc radika RRONDO johnsonmgaya Transcend kisu cha ngariba
Mou kaishiwa mbinu
So sad,, ila Almighty awe nasi trh 24,,, na ndoto hizi zkitimia josee aachane na mbin zake za kizaman,,, nyakati hiz unacheza kwa malengo ya droo?? utashinda kombe gan?? celta,, standard liege nao wababe OT?? wachezaj wa viwango vya kawaida waachwe kabsaaaa ili Brand na Heshima ya Irejee
Usipaniki braza, hapo wakuondoka ni Smalling, lingard huyu kiwango chake haki improve kabisa, darmian, Rooney uwezo anao sema hajitumi, Mkubwa Fella, Young na blindTimu inacheza kama ya simuyu bana,hamna mipango kabisa,ovyo ovyo..Rooney,carrick,jones,smalling,lingard waondoke tu..martial,mikhitaryan,darmian blind pia wafwatie..hamna haja ya kukaa na wachezaji wanaobahatisha
Punguza pumba,Carrick kacheza UNITED misimu 11 na ameshinda ubingwa mara 5 kwa uchezaji huo unaouponda.Unafahamu kazi ya holding/defensive midfielder?